Show ya Harmonize Yanga Day

Harmonize Ni anaiga iga vitu vingikwa aliyekuwa boss wake Diamond sasa utasemaje awe mfano kwa wanamziki wengine.
 
Kwenye malipo yake akatwe,yani kamba ndo wanalazimisha iwe helcopter?
sio kulazimisha tu hapana ila kwamfano angedondoka kutoka futi 20 ingekuwaje????ubunifu unahtajika lakini mmmhhh lazima kuwa makini kdgo napo
 
Harmonize Ni anaiga iga vitu vingikwa aliyekuwa boss wake Diamond sasa utasemaje awe mfano kwa wanamziki wengine.
si anpambwa na wale wa kule wanajiita mjengoni sijui ..ukikuta anavozungumzwa na watangazaji wa lile station basi kichwa kinakuwa kikubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…