SHow ya Wema sepetu. EATV

SHow ya Wema sepetu. EATV

Jamani wabongo tukoje, muacheni binti wa watu. Amejaribu na ndo kwanza kimerushwa mara ya kwanza mmeanza kuponda. Kwa nini usitoe ushauri basi kuwa ungefanya hivi labda kingependeza au ungetoa kitu flani kingependeza zaidi kuliko konyesha chuki namna hiyo. Na wengi mnaonekana mna chuki sana na Wema! Ila haisaidii.
 
nenda clouds tv kaangalie bibi bomba. tuache siye tufaidi tunaopenda.
 
Jamani wabongo tukoje, muacheni binti wa watu. Amejaribu na ndo kwanza kimerushwa mara ya kwanza mmeanza kuponda. Kwa nini usitoe ushauri basi kuwa ungefanya hivi labda kingependeza au ungetoa kitu flani kingependeza zaidi kuliko konyesha chuki namna hiyo. Na wengi mnaonekana mna chuki sana na Wema! Ila haisaidii.
kwani wewe kipindi umekionaje kizuri au kibaya
 
mkasi kina nafuu mara buku 7, yaaani nimecheka,ngeli ya kuunga unga,umarekani mwiiiingi, code mixing na code swiching za kufa mtu, ha haa, ni ya kitoto bora kukaA na kuangalia KIRIKOU kuliko hii show,poor creativity,pyuuuuu!

over
teh teh teh..nimecheka hiyo "pyuuuuu".
 
Mimi na kiswanglish ni tofauti kabsa. Kuna yule demu wa hotmix yani anakera haswa. Kiingerezani hayupo.kiswahilini hapatikani. Wema kaongeza janga jingne.

Hahaha yule bdada mwenye kipua kikubwa....ananikera hata mimi.
 
Mimi niliangalia promo tu nikaona hakina mpango..eti anasema akifumba macho anamuwaza Beckham ...Yani haoni kuwa hiyo ni kasoro kutamani mume wa mtu.
 
Ningeweza kukutana na wema uso kwa uso ningemshauri sana aongee kiswahili maana hata kip kingekuwa na mvuto. Ndo maana naipenda dairy ya JD
 
duuuh watu wana matusi. mi nilifikiri sijui ni watu gani kumbe mbwa? kweli celebrity kazi.

Wangejaribu kuangalia Tv za majirani zetu wa Kenya wangeanzisha vipindi vizuri tu kwa kufuata mfumo wao kama CitizenTV Na K24TV
 
Me niliishia zangu kulala..nilikua naona mizinguo tu..kiingereza chenyewe kumbe ni kibovuuu.....
 
Back
Top Bottom