Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Wu-Ma

Senior Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
113
Reaction score
277
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo






IMG_20221119_193519.jpg


Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
 
inawezekana 100% hakuitangaza vizuri show yake kama wenzie wanavyofanya. wenzetu wanaija wakienda ughaibuni wanapromote sana shows zao kwenye billiboards na radios za majiji ya kule.

btw zuchu hana sauti hiyo ya kusema wazungu wajae wamtazame.
 
Hata yeye na bosi wake sidhani kama wanapshana sana kwenye numbers kuhusu kujaza watu kwenye show huko majuu

Hawa wana bang sana hapa ndani ila huko majuu kwa TZ bado sana, waliotuzidi lazima tuwape shavu kama Nigeria wenzetu wapo mbali sana
 
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo

View attachment 2421250

Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Daah aiseeeee ,,, kwi kwi kwi""
 
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo

View attachment 2421250

Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Hata apige Show 100000 .. Asilimia kubwa zinaenda kwa Boss wake... Yeye anabaki na Hela za Kula na Kulala

Wasanii wa Wasafi Hakuna Wanaojitamba Kumiliki Vitu vyao Zaidi ya Kumilikishwa tu na Wasafi na Wajitoa wanaanza Upya
 
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo

View attachment 2421250

Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Marekani mwanamuziki wa kike anaeweza jaza angalau kiasi ni huyu mtoto Abby Chams tu, Vanessa mdee nae engeweza ila alikata tamaa mapema.

Huyu muimba taarabu labda abadili style ya uimbaji, kwa africa atajaza ila mambele ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom