Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Wow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wow
😆
😂😂😂😂Kabayaaaaaaaaa mno.....!
Hata mimi wangu kuna muda huwa siuelewi.Wa kwangu hata mimi mwenyewe huwa unanisumbua nikianza kusoma baadae...naanza kujiuliza hivi hapa niliandika nini?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kabayaaaaaaaa!😂😂😂😂
Malcom
NimecheeekaKamwandiko kabayaaaaaaa!
Nasubiri utupie wako.Kabayaaaaaaaa!
Dogo mimi nina mwandiko kama ule wa kwenye Biblia yaaani!Nasubiri utupie wako.
Wa kwangu wa la la saba C
Hapa ndiyo hamna kitu kabisa, utadhani kuku tetea katoka kuparua chini ili atage......Mmeniforce nishike biki, nimeshika sa sijui niandike kipi.../
Na mwandiko mchafu si mnipe jiki?, niandike kwa vina mpaka mniite gwiji.../
Kuna mwana nataka nimchane, nawajuza mi ndo nilie muandikia Saint Anne...au sio mwana wane?
Mcheki Its Pancho kaanzisha mada afu kanywea, stuka mwenzako Prisonerx kaandika hadi vifaa vya hardware.../
Huu mwandiko unapendeza nimeulaza kifudifudi, na ndio maana siufichi nauweka wazi uonekane sio kama Bujibuji.../
Patriarch mwanangu ebu punguza hisabati, umefanya mpaka moyo wa ledada usiwe smart.../View attachment 1856636
[emoji7]Dogo mimi nina mwandiko kama ule wa kwenye Biblia yaaani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ndiyo hamna kitu kabisa, utadhani kuku tetea katoka kuparua chini ili atage......
Ngoja kwanzaaaaaaa![emoji7]
Naomba niuone.
JamaniNgoja kwanzaaaaaaa!
Fundi bomba
Kweli akutukanae hakuchagulii tusiSijaufikia wako.
Nimecheeeka