Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh😂😂 Tafaadhali sana mkuu[emoji23][emoji23].. umenikumbusha mbali sana huu mwandiko, kama wa bibi yangu.
Naona hata aibu mwandiko wenyewe ulivyokuwa mbaya.
Hujakosea mkuu.Wewe inaonesha umesoma (umebobea) Sayansi... i.e Physics Chemistry Biology etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifikiri nimekosa wa kuniwakilishaHujakosea mkuu.
Huu hapa nikiwa nasamaraizi, enzi za kukanyaga umandeView attachment 1856844View attachment 1856846
Sitakucheka dokta wangu[emoji23]Naona hata aibu ulivyo wa mbaya mwandiko wenyewe.
Ila Saint Anne wallah una mwandiko mzuri africa mashariki na kati hadi kusini mwa jangwa la sahara.
Ngoja nikisogea kwenye kalamu na karatasi ntaandika japo kidgo.
Usinicheke ila. [emoji23][emoji23]
Nimecheka Sana[emoji38][emoji23][emoji23].. umenikumbusha mbali sana huu mwandiko, kama wa bibi yangu.
Siyo madaktari wote wana miandiko mibovu.Madaktari tupo wapi? Mbona humu wengi ni waumba herufi
Nipeleke mkuu nikajaribu bahati yangu.hiyo font family Microsoft wananua bei nzuri. fanya mpango tukauze
👍 👍
Daah hiyo Total ulifikiria nini kuikunja T na O hivyoMimi huwa naandika bora kama nitaelewa mwenyeweView attachment 1856707
HahahaaaHiyo kitu iache tuu! Namquote Sir Walter lewin
"If you hate physics, its because you had a very bad teacher"
"Teachers who makes physics boring are criminals"[emoji23][emoji23]
Wangu unasomeka vyema tu, wapo makonki mwandiko unaupigia msuli na hauambulii kitu.Nilifikiri nimekosa wa kuniwakilisha
[emoji7][emoji91][emoji91]