Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
acha ufala adriz ni mwanaume, punguza element zenu za kikafiri maana mna waza laana tu ebo!Mwanaume aliyekamilika huwa haandiki hivi mkuu acha upuuzi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ufala adriz ni mwanaume, punguza element zenu za kikafiri maana mna waza laana tu ebo!Mwanaume aliyekamilika huwa haandiki hivi mkuu acha upuuzi wako.
Anha kumbe ni wewe mkuu, sikuzingatia ID yako. Nilidhani ni BRAZA CHOGO.Oya jiheshimu Jombi Mimi ni Gunman.
Hata mimi.Nikiandika hapa, chap wanaonifahamu watanitaja na jina.
Huo kwa ajili ya Arts tu Kuna mwengine huu , Mimi Nina version nyingi ya muandiko kutokana na kitu ninachoandika . Nina wa mtihani , wa summary , wa kawaida , wa arts nkMwanaume aliyekamilika huwa haandiki hivi mkuu acha upuuzi wako.
Jichanganye ule ban ya Mwaka 😂Duh sikuzingatia ID yake. Halafu nasikia adriz ni modi
Hapo sawa mkuu hata mimi nina mwandiko kama wako halafu nina style nyingi za kuandikaHuo kwa ajili ya Arts tu Kuna mwengine huu , Mimi Nina version nyingi ya muandiko kutokana na kitu ninachoandika . Nina wa mtihani , wa summary , wa kawaida , wa arts nkView attachment 3240082
Nimeshamwomba msamaha, huyu jamaa si wa kucheza naye maana ana rungu Kali kali.Jichanganye ule ban ya Mwaka 😂
Mimi ni Jasusi wa kujitegemea halafu ni Mafia kama Vincenzo Cassano halafu ni Gunman .Duh sikuzingatia ID yake. Halafu nasikia adriz ni modi
Upo ndani ya mjengoUsi uweke arifu
oya toa huo uchafu🤣😂Upo ndani ya mjengo
Hahahah 😂 wa JF wengine bila vitisho hawaendi.Mimi ni Jasusi wa kujitegemea halafu ni Mafia kama Vincenzo Cassano halafu ni Gunman .
Sometimes natumia intimidations kufyeka maadui na maboyaz , japo sijawahi kusema Mimi ni Mod ila wamejaa kwenye mfumo wangu huwa nikiwatisha kuwa watakula Ban hawakai siku 3 wnachezea ban kumbe mchezo unakuwa hivi nawaweka kwenye killing zone Kisha wanajaa kwenye mfumo wa ban wenyewe.
Nafurahi wananiogopa wameshakuwa convinced kuwa Mimi ni mod.
Marassss The Mongolian Savage wee lizee natamani tuzichape umbwa wewe.
Karemba sana lakini wapi 😂Na hapo karemba herufi moja moja🤣
Ni kama unapindua Gunia tu eeeh?..Mbona hatukuoni ukiipindua nchi? 😂😆
Happy new year to you
Good morning doctor..!
Mbona mnausema sana mwandik