Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mimi sio mkuu, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro maxKazi umepata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mkuu, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro maxKazi umepata mkuu
Hajui kuwa he is standing or sitting or whatever he is doing in the presence of Intelligent businessman first of his name, Founder and the C.E.O of the jobless pro max, leader and the voice of the jobless pro max in TanzaniaMimi sio mkuu, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max
Basi kazi ushafukuzwa na umeingia kwenye rekodi ya kupata kazi na kufukuzwa kabla hata ya kuanza kazi.Mimi sio mkuu, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max
What a superb introduction, stay blessed.Hajui kuwa he is standing or sitting or whatever he is doing in the presence of Intelligent businessman first of his name, Founder and the C.E.O of the jobless pro max, leader and the voice of the jobless pro max in Tanzania
Tuone hapa mwandiko wako namna ulivyo, kuna wengine wana mwandiko mzuri, na kuna wengine Tuna mwandiko kama bata anaharisha.. Show your hand writing hapa ikiwa kwenye karatasi au hata kwenye simu lakini kwenye karatasi ni vyema zaidi.
View attachment 1857861
Hatimaye desa langu nimelipata nilipokuwaga o level.. geography. 😁😁
Hannah
Nusu albino atulie tu kwa kweli 😛What a superb introduction, stay blessed.
min -me, vijana wako vizuri.
We nusu albino Half american Soma hiyo!
Nina mwandiko mbaya ujawahi tokea..
Unaniangusha mwanamageuzi😆😂Ni kama unapindua Gunia tu eeeh?..
Thanks God is good! Heri kwako pia na familia .😊😊
Yaani ndio nakuona mwezi huuMarahaba mwanafunzi wangu.
Nimekumiss pia mdogo wangu sio kwa kupoteana huko.
Kama ni hivyo basi usiu-share humu jukwaani kwa maana utaharbu macho ya waja wa mungu.Nina mwandiko mbaya ujawahi tokea..
Bila kusahau mi ni PCB pure hv usicheke mwandiko wangu...
My enemy Hannah, jambo toto😆Marahaba mwanafunzi wangu.
Nimekumiss pia mdogo wangu sio kwa kupoteana huko.
Mwandiko wako pulllliiiiiiiiiizz!!!Ngoja tuone...
Ngoja tukutambulishe world wideMimi sio mkuu, mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max
Nini hiki😹😹
kwa nini mkuuUnalala ukiandika ama
😂