Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Sio cruise ship hiyo,🤣LPG,cargoHii Cruise ship yenu bwana mtakuwa mnaelekea Bongoyo island,hainifai mimi....mi nataka zile zenyewe zenye ma vodka,mawine ma spirit mawhisky😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio cruise ship hiyo,🤣LPG,cargoHii Cruise ship yenu bwana mtakuwa mnaelekea Bongoyo island,hainifai mimi....mi nataka zile zenyewe zenye ma vodka,mawine ma spirit mawhisky😁😁😁😁
aye aye captain,Hahaha captain zulu au captain nani....?
Wakifika baadhi nitawasalimia,hongera sana kwa kuangalia itabidi utafute namna uweze kuishi hata 1 week upate experience ya maisha yao kidogo.
View attachment 2858410
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa ulivyotukaribisha karibu kiwanja mi nikajua Bata la new year yunalianzia humo kumbe Cargo?haya bwana endelea na cargo manifest yakoSio cruise ship hiyo,🤣LPG,cargo
Itabidi nikuletee kamchumba kamoja kenye cheo kakitafutie kibali uishi humo🤣aye aye captain,
goodluck finding ye cursed treasure🏴☠️
Acha uongo, wapi imesemwa.Pombe ni shetani
kenye macho makubwa mazuriItabidi nikuletee kamchumba kamoja kenye cheo kakitafutie kibali uishi humo🤣
Nilijua tu mtakuja😀Acha uongo, wapi imesemwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa ulivyotukaribisha karibu kiwanja mi nikajua Bata la new year yunalianzia humo kumbe Cargo?haya bwana endelea na cargo manifest yako
Ndio ugonjwa wako macho makubwa?alooooh 😄kenye macho makubwa mazuri
Kijana unataka risasi za kichwa?kenye macho makubwa mazuri
Sasa sifahamu unayo au laah maana naona anajileta kwa ukaribu kabsa kwako.🤣Ndio ugonjwa wako macho makubwa?alooooh 😄
Sasa natokea naenda wapi Tena kama dear gambe bado yupo?🤣
Bata,linapatikana lakini kwa muda na sehemu maalum,kutoka hadi pombe ziishe,je,uko tayari?🤣
unayo mkuu?Ndio ugonjwa wako macho makubwa?alooooh 😄
Kuwahi nyumbani labda..Sasa natokea naenda wapi Tena kama dear gambe bado yupo?
Huyu muache nimteke nikamfungie kwenye hiyo Cargo yako,ayaangalie macho makubwa mpaka alewe course work zimpite huko chuoni kwake!Sasa sifahamu unayo au laah maana naona anajileta kwa ukaribu kabsa kwako.🤣
Kufanya Nini sasa nyumbani😁😁?Kuwahi nyumbani labda..
Ofisi HII IPO chini ya maji?Hahaha captain zulu au captain nani....?
Wakifika baadhi nitawasalimia,hongera sana kwa kuangalia itabidi utafute namna uweze kuishi hata 1 week upate experience ya maisha yao kidogo.
View attachment 2858410
Huyo kijana alivyomhuni,hiyo kazi haimfai maana kila sehemu atakayofika ataacha watoto..Huyu muache nimteke nikamfungie kwenye hiyo Cargo yako,ayaangalie macho makubwa mpaka alewe course work zimpite huko chuoni kwake!
Kinga hata maji hapo bombani upunguze njaa,utajisikia nafuua
achatamaa utafanywa vibaya🤪🤪🤪