Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Dr Akron ndio nani ?1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
Japo ujui kuandika sijui shuleni ulienda kusomea ujinga?1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
Sawa kabisa na zile za MuunganoHizo ni chokochoko
Wewe ulikuwepo?,tupo mililioni sitini+hivi au hujui!1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
Sumaye mbona alikueepo ,we uliangalia vzr?1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
Sumaye alikuwepoHizo ni chokochoko
Mazishi ya Kitaifa ni Monduli na Bunge zima watakuwepo pamoja na Rais wa JMT, Jaji Mkuu na Mkuu wa Majeshi
tena anatumia sana chang'aa. humwambii kitu. na msuba wanasema anatumia.Siyo kwa uwezo ama matakwa yake, bali ni kwa kudra za aliye juu. Maana Warioba ni mlevi wa kutupwa wa pombe kali.
Hata shetani siku Yesu anakufa msalabani alikuwepo akitaka kushuhudia!Eti Nape na Makonda wameenda!
Na Rostam naye alikuwepo jamani?Sumaye alikuwepo
Huyu ana matatizo
Mi nauliza mwakyembe sijamuona popote