Shughuli ya kuaga mwili wa Hayati Edward Lowassa Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam

Hizo ni chokochoko

Mazishi ya Kitaifa ni Monduli na Bunge zima watakuwepo pamoja na Rais wa JMT, Jaji Mkuu na Mkuu wa Majeshi
 
1.Dr Tulia Akron. 2.Dr Slaa 3.Wazir mkuu wa, Mkapa Sumae 4.
Japo ujui kuandika sijui shuleni ulienda kusomea ujinga?
Nakujibu kwa Dr. Tulia Ackson mbunge wetu na rais wa IPU huyu yupo nje kikazi
 
Sentensi Moja tu

Lowassa pamoja na mapungufu ya kibinadamu alikuwa ni Kiongozi mwenye Sifa ya Uongozi, Mvumilivu sana tutamkumbuka, amesema Mzee Wariioba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…