Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

Mmejibiwa na Mchungaji huku
 

Attachments

  • OI98GwRCC2RGdGpM.mp4
    705.5 KB
Misalaba ipo kabla ya Ukristo.
Hakuna mtu wala imani inayojimilikisha misalaba.

Kama ulikuwa Msalaba wa Ukristo basi ni vema sana kwakuwa Kristo anatangazwa popote na kwa lolote, kwa ubaya na uzuri Kristo anatangazwa.

Waliokemea wangekemea kwanza picha za Ngono na Escrow.

Hii ni aibu kwa mtu anaye jiita Askofu
 
Gundu lilianzia hapa , kifupi ni kwamba mlizika timu yenu wenyewe, msimu utakua wa msiba na vilio.. tupate wadhamini kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…