Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

Ukute huyo askofoli ni uto,mbona halaani ushoga na kulawitiwa kwa watoto na mapadri wa kanisa lake
 
Subiri tu kumwagiwa mrembo wa pori
Nawee unavomwagiwa uji wa lishe mzito, ndo unakuwa km mwehu hivi?? Poleeeeee sanaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha iko wapi
Picha na malamiko ya Askofu Kilaini haya hapa.
IMG-20220809-WA0030.jpg
 
Huyo Askofu atakuwa Yanga, anadhihakiwa Yesu halalamiki. Jeneza na msalaba haukudhihakiwa hapo na wala si mara ya kwanza jeneza na msalaba kufanyiwa sanaa za maigizo.

Atupishe huko.
Huyu Askofu wa michongo alikula hela ya escrow,hana moral authority ya kukemea lolote. Mbona Yanga yake hakuikemea hapa
 

Attachments

  • FB_IMG_1660058850277.jpg
    FB_IMG_1660058850277.jpg
    41.8 KB · Views: 5
Imenikumbusha machungu makuu.. Hadi furaha ya simba ya day ikatoweka...

Hawa wasanii hizi content zao ziwe zinahakikiwa na watu wenye akili timamu

Uliteseka sana ukute[emoji23]pole mkuu hamna namna
 
Huwa mnaanza hivi hivi! Mwisho wa siku mnaishia kupigwa faini na CAF kwa sababu za kishirikina. Ikiwapendeza, mkubali tu kubadilika.

Acheni uswahili.

Ko jeneza ni ishara ya ushirikina mkuu???Hv hujawahi ona mashabiki wa tim zote mbili wanaingia na kajeneza uwanjani kama utani..uspaniki mkuu maisha hayataki usiriazi kila mahali
 
Spritually Simba kuingia na Jeneza ndani ya uwanja likiwa na shabiki waondani Ni ishara mbaya kwso. Kifupi wamejizika kaburini

Hiyo wewe ndo umesema?nandy kaligraph jones na g nako washawahi ku shoot video waliwa ndani ya jeneza vp walijizika?acha ushamba jeneza ni mbao tu
 
Khaaaaaaaaah, sasa jeneza ni ushirikina??? Serious??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavurugwa vibaya siku hizi. Umepatwa na nn??

Byuti byuti

Ako na stress za waganda kuwanyuka kwenye siku yao...
 
Aibu???!!?! Ule ni ushenzi, upumbavu na ujinga ambao siyo rahisi kuuelezea....Siyo suala la jeneza tu Bali hata ule msalaba ni kebehi, dharau na kejeli kubwa kwa Wakristo....ni ushenzi na upumbavu wa kiwango Cha juu kabisa...

Sawa yesu wasamehe
 
Katika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.

Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini

Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
View attachment 2319369

Huyo kilaini na uhakika atakuwa mchawi aneyetumia msalaba kumtia YESU aibu ..usiwaamini hao wanafiki hii ni sanaa tu
 
Wameleta aibu sanaa, ebu jaribu kufikiria mtu aliyetoka kwenye majonzi halafu akasema ngoja aende uwanjani kuangalia mpira na kupoteza mawazo, Halafu mwisho wa siku anaona kitu Kama kile kinaletwa uwanjani, unazani atajisikiaje, bila Shaka utamrudisha katika majonzi ndani ya moyo wake
Zile ni mbao tuu mkuu...[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Je hili tukio ni la kwanza ama lilishawahi kufanywa na wengine? Je waliomba radhi?
Huwezi kuhalalisha losa kwa makosa ya wengine.
Niljua tu hizi timu mbili zitaingia matatizo kwa kuingiza mambo yasiyo na staha na ujinga ulokithiri kuwafurahisha mashabiki wao.
Hawajui kuwa tupo tusio na uashabiki wowote na tunaona haya mambo kuwa ya kijinga sana.
 
Back
Top Bottom