Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawee unavomwagiwa uji wa lishe mzito, ndo unakuwa km mwehu hivi?? Poleeeeee sanaaaa.Subiri tu kumwagiwa mrembo wa pori
Picha na malamiko ya Askofu Kilaini haya hapa.Picha iko wapi
Fake account na huo sio mwandiko wa KilainiPicha na malamiko ya Askofu Kilaini haya hapa.View attachment 2319593
Huyu Askofu wa michongo alikula hela ya escrow,hana moral authority ya kukemea lolote. Mbona Yanga yake hakuikemea hapaHuyo Askofu atakuwa Yanga, anadhihakiwa Yesu halalamiki. Jeneza na msalaba haukudhihakiwa hapo na wala si mara ya kwanza jeneza na msalaba kufanyiwa sanaa za maigizo.
Atupishe huko.
Imenikumbusha machungu makuu.. Hadi furaha ya simba ya day ikatoweka...
Hawa wasanii hizi content zao ziwe zinahakikiwa na watu wenye akili timamu
Huwa mnaanza hivi hivi! Mwisho wa siku mnaishia kupigwa faini na CAF kwa sababu za kishirikina. Ikiwapendeza, mkubali tu kubadilika.
Acheni uswahili.
Spritually Simba kuingia na Jeneza ndani ya uwanja likiwa na shabiki waondani Ni ishara mbaya kwso. Kifupi wamejizika kaburini
Khaaaaaaaaah, sasa jeneza ni ushirikina??? Serious??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavurugwa vibaya siku hizi. Umepatwa na nn??
Byuti byuti
Kanikera sanaHuyu Askofu wa michongo alikula hela ya escrow,hana moral authority ya kukemea lolote. Mbona Yanga yake hakuikemea hapa
Aibu???!!?! Ule ni ushenzi, upumbavu na ujinga ambao siyo rahisi kuuelezea....Siyo suala la jeneza tu Bali hata ule msalaba ni kebehi, dharau na kejeli kubwa kwa Wakristo....ni ushenzi na upumbavu wa kiwango Cha juu kabisa...
Katika hatua nyingine sakata la jeneza na msalaba katika simba day lachukua sura mpya.
Watu mbalimbali wamejitokeza kulaani kitendo cha mashabiki au watumbuizaji kuingia na jeneza na msalaba ambapo palikuwepo na mtu aliyevalia kiaskofu. Tukio hilo ni dhihaka kubwa kwa waamini wa kikristo amesema Askofu kilaini
Je? Haya yanaweza kufanyika kwa upande wa dini nyingine? Hivi hawa wangeweza kwenda chukua jeneza msikitini na kufanya hii dhihaka na washabiki uwanjani wakashangilia?
View attachment 2319369
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ako na stress za waganda kuwanyuka kwenye siku yao...
Zile ni mbao tuu mkuu...[emoji1][emoji1][emoji1]Wameleta aibu sanaa, ebu jaribu kufikiria mtu aliyetoka kwenye majonzi halafu akasema ngoja aende uwanjani kuangalia mpira na kupoteza mawazo, Halafu mwisho wa siku anaona kitu Kama kile kinaletwa uwanjani, unazani atajisikiaje, bila Shaka utamrudisha katika majonzi ndani ya moyo wake
Tundamani.....atakuwa ni wale wa kujilipua
Je hili tukio ni la kwanza ama lilishawahi kufanywa na wengine? Je waliomba radhi?Sijasikia Simba wakiomba radhi, kiustaarabu inabidi waombe radhi haraka watanzania.
Huwezi kuhalalisha losa kwa makosa ya wengine.Je hili tukio ni la kwanza ama lilishawahi kufanywa na wengine? Je waliomba radhi?
Wenye akili tayari wameshachukuwa hatua. Hatuwezi kuendelea kufanya vitendo vya kijinga, tena vinavyoonyesha ukosefu wa adabu kwa dini za watu.
Je hili tukio ni la kwanza ama lilishawahi kufanywa na wengine? Je waliomba radhi?