Kwani si wanayo ile ng'ombe yao (cow) bora wafunge mkokoteni wasonge mbele ,shida zao zinawafanya wawe vimbelembele na kuilalamikia TANZANIA Mara kwa Mara si waende na hilo ling'ombe Lao ala
View attachment 1185057
Hatuwezi kuwa na majirani wenye roho mbaya ndio maana tumeamua kumchukua ndugu yetu Burundi tunampeleka SADC
Hujaelewa kinachojadiliwa hapa? Miaka miwili iliyopita marais wote wa nchi za EAC walikubaliana kuhusu political confedaration. Process ya kwanza ndio hii hapa ya kuandika katiba ya EAC. Kuwa na mazoea ya kusoma taarifa kwanza kabla ya kutupia comment zako za ajabu ajabu.Ina maana ulikuwa unaota ipo siku mtakua na political federation?
Jamaa ni wabaguzi kinoma,nenda kaangalie sasa uhalisia wa maisha wanayoishi,Yaani kwa hali hii unavyowadharau Burundi ndo utake EA community [emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi shirikisha ubongo kwa mkumbafu kama ww ambaye kazi yake ni kueneza chuki na ukabila mitandaoni.
Siku mkiwa na adabu kwa nchi zingine ndo mje mdai EA iuangane.
Au umenuna kukuambia kitunguu ulichopikiwa nacho githeri kimetoka Tanzania.
Tulikuta jumuiya imeundwa kwa kushirikisha wazembe, hivyo inabidi tuwabebe kama walivyo. Hauwezi ukachagua nani awe jirani wako, ukinunua kiwanja, huna uwezo wa kusema nani anunue viwanja vingine maeneo hayo, watakuja vilaza na wazembe utawavumilia na kuwabeba kama walivyo.
Jamaa ni wabaguzi kinoma,nenda kaangalie sasa uhalisia wa maisha wanayoishi,
Wana njaa hao hatari,kila kitu wanageuza fursa,tumewashtukia na ndio maana huu muungano tunaufanya uwe upo upo tuAlafu eti wanataka muungano wa EA [emoji23][emoji23][emoji23]
Wana njaa hao hatari,kila kitu wanageuza fursa,tumewashtukia na ndio maana huu muungano tunaufanya uwe upo upo tu
Sio kweli unayosema, nchi za EAC zilisema zinataka kuanzisha "political federation ", Tanzania pekee ndio ikakataa na kusema kwamba kabla ya kuanzisha federation, kwanza lazima tukamilishe mambo ya kisera na kifedha, Tanzania ilikua na wasiwasi juu ya umiliki wa ardhi ktk hiyo east Africa political federation.Hujaelewa kinachojadiliwa hapa? Miaka miwili iliyopita marais wote wa nchi za EAC walikubaliana kuhusu political confedaration. Process ya kwanza ndio hii hapa ya kuandika katiba ya EAC. Kuwa na mazoea ya kusoma taarifa kwanza kabla ya kutupia comment zako za ajabu ajabu.
Sio kweli unayosema, nchi za EAC zilisema zinataka kuanzisha "political federation ", Tanzania pekee ndio ikakataa na kusema kwamba kabla ya kuanzisha federation, kwanza lazima tukamilishe mambo ya kisera na kifedha, Tanzania ilikua na wasiwasi juu ya umiliki wa ardhi ktk hiyo east Africa political federation.
Baada ya kauli hiyo, nchi zilizobaki zikaendelea na zoezi la kuandika katika, kwa Mara ya kwanza zoezi la kuandika katiba lilifanyika Uganda 2013, huo ulikua mwanzo wa CoW.
Leta statistics zenu mnopendaga, ulinganishe transactions kati ya kenya na ethiopia na kenya na tz, ipi kubwa.Biashara sio kushobokeana, na 'mafeelings', hapo ndio huwa mnakosea. Nimeitaja Ethiopia kwasababu ya uchumi wao mkubwa na kwamba tuna mengi ya kujifunza kutoka kwao. Biashara kati ya Kenya na Ethiopia inazidi kunoga. Miundo mbinu kati ya Kenya na Ethiopia inazidi kuboreshwa. Benki za Kenya KCB, Equity zimeingia Ethiopia kwa kishindo. Kampuni kama KenGen imeshapata fursa kwenye miradi ya Geothermal kule Ethiopia. The opportunities are endless.
Political federation ilikataliwa na viongozi wote wa EAC, isipokuwa M7. Yeye ndiye aliyekuwa akiendeleza hoja hiyo tangu hapo awali. Political CONFEDERATION ndio ilikubaliwa na marais wote wa EAC. Katiba ya EAC itaendeleza mfumo huo wa confedaration na sio federation. Kuwa makini jombaa.Finally, EA nations agree to disagree on federation
The desired East African political federation, which has been on the table of the region’s heads of state in almost all their meetings since the idea was floated in August 2004, would certainly takewww.thecitizen.co.tz
Hizi blah blah blah unazozisema hakuna anayezikataa wala kuzipinga, tatizo ni pale hamsemi wala kutoa tamko kwamba mpewe muda, muda wote mnasema mumekubali na mumejitolea ila mnakwepa vikao. Mnafaa kutoa tamko mseme bado hampo tayari na kwamba mpo kwenye vikao vyenu vya ndani ili kuwaza na kutathmini na kudadavua umuhimu wa kukaa vikao vya EAC.
Hatuwezi kuwa na majirani wenye roho mbaya ndio maana tumeamua kumchukua ndugu yetu Burundi tunampeleka SADC
Akituma Nipigie simuLeta statistics zenu mnopendaga, ulinganishe transactions kati ya kenya na ethiopia na kenya na tz, ipi kubwa.
Wewe jamaa bana, mimi nakuletea makubaliano ya marais, ya mwaka wa 2017 kuhusu CONFEDERATION ya nchi za EAC. Wakati JPM alikuwa ndiye rais na wewe unaniletea video ya Kikwete akiongea kuhusu federation na sio confedaration. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Nimeshakueleza yote kwenye post yangu iliyotangulia hii hapa. M7 pekee yake ndiye aliyekuwa anataka political federation, nadhani alikuwa na matumaini ya kuwa rais wa kwanza wa EAC. Kenya, Tz, Rwanda na Burundi wote walikataa. Alafu mimi pia sijaunga mkono hoja ya muungano wa kisiasa wa aina yeyote ile, iwe federation au confederation. Wakenya tulipofika sasa hivi kikatiba, kisiasa na kidemokrasia hatuna lolote la kufaidi kutoka kwa nchi yeyote nyingine ukanda huu. Nyinyi wote mnaongozwa kidekteta na kiubabaishaji wakati sisi tulishatoka huko zamani, tena kwa jasho na damu na hatuna hamu kabisa ya kurudi nyuma.Sikiliza kwa makini
Huu Uzi unazungumzia mchakato wa katiba ya Political federation, wewe unazungumzia political confederation, ndio Mara zote tukisema ninyi akili zenu ni ndogo sana huwa masema tunawadhalilisha.Wewe jamaa bana, mimi nakuletea makubaliano ya marais, ya mwaka wa 2017 kuhusu CONFEDERATION ya nchi za EAC. Wakati JPM alikuwa ndiye rais na wewe unaniletea video ya Kikwete akiongea kuhusu federation na sio confedaration. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Nimeshakueleza yote kwenye post yangu iliyotangulia hii hapa. M7 pekee yake ndiye aliyekuwa anataka political federation, nadhani alikuwa na matumaini ya kuwa rais wa kwanza wa EAC. Kenya, Tz, Rwanda na Burundi wote walikataa. Alafu mimi pia sijaunga mkono hoja ya muungano wa kisiasa wa aina yeyote ile, iwe federation au confederation. Wakenya tulipofika sasa hivi kikatiba, kisiasa na kidemokrasia hatuna lolote la kufaidi kutoka kwa nchi yeyote nyingine ukanda huu. Nyinyi wote mnaongozwa kidekteta na kiubabaishaji wakati sisi tulishatoka huko zamani, tena kwa jasho na damu na hatuna hamu kabisa ya kurudi nyuma.