Shughuli za kuandaa katiba ya EAC zaanza huku Tanzania ikiendelea kununa

Shughuli za kuandaa katiba ya EAC zaanza huku Tanzania ikiendelea kununa

Kwani si wanayo ile ng'ombe yao (cow) bora wafunge mkokoteni wasonge mbele ,shida zao zinawafanya wawe vimbelembele na kuilalamikia TANZANIA Mara kwa Mara si waende na hilo ling'ombe Lao ala
View attachment 1185057

Kuna baadhi ya vitu hairuhusiwi kuzifanya bila kila mwanachama kuridhia.
 
Ina maana ulikuwa unaota ipo siku mtakua na political federation?
Hujaelewa kinachojadiliwa hapa? Miaka miwili iliyopita marais wote wa nchi za EAC walikubaliana kuhusu political confedaration. Process ya kwanza ndio hii hapa ya kuandika katiba ya EAC. Kuwa na mazoea ya kusoma taarifa kwanza kabla ya kutupia comment zako za ajabu ajabu.
 
Hahahaha, tatizo hatutaki kushirikiana na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria, Kenya akili IQ zao ni ndogo sana ndio sababu hata Ukabila umewashinda, vipi hadi Leo mnahemea chakula kwa majirani takriban miaka 60 tangu mjitawale?.

Kuonyesha kwamba uwezo wenu wa akili ni mdogo Sana, jaribu kufikiria hili; Eti mtu mzima kwa akili yake anasema sheria za EAC haziruhusu kuendelea na jumbo lolote hadi nchi zote zikubali, iweje Kenya iliongoza nchi zingine kuanzisha CoW?, au wakati inaanzishwa hiyo CoW, hiyo sheria haikuwepo?.

Kwanza LAPSET haukuwa mradi wa EAC, ndio sababu Ethiopia imo katika huo mradi, kutokana na akili zenu mbaya, mkawa mnahusisha LAPSET na CoW, hiyo ndio sababu ya kusambaratika kwa CoW na LAPSET pamoja. Bila Tanzania hakuna EAC.
 
Yaani kwa hali hii unavyowadharau Burundi ndo utake EA community [emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi shirikisha ubongo kwa mkumbafu kama ww ambaye kazi yake ni kueneza chuki na ukabila mitandaoni.
Siku mkiwa na adabu kwa nchi zingine ndo mje mdai EA iuangane.
Au umenuna kukuambia kitunguu ulichopikiwa nacho githeri kimetoka Tanzania.
Jamaa ni wabaguzi kinoma,nenda kaangalie sasa uhalisia wa maisha wanayoishi,
 
Mngekuwa sio wazembe mngeshaunda jumuiya yenu kitambo sana [emoji23][emoji23][emoji23] nyie jamaa wapumbafu Sana.
Tulikuta jumuiya imeundwa kwa kushirikisha wazembe, hivyo inabidi tuwabebe kama walivyo. Hauwezi ukachagua nani awe jirani wako, ukinunua kiwanja, huna uwezo wa kusema nani anunue viwanja vingine maeneo hayo, watakuja vilaza na wazembe utawavumilia na kuwabeba kama walivyo.
 
Hujaelewa kinachojadiliwa hapa? Miaka miwili iliyopita marais wote wa nchi za EAC walikubaliana kuhusu political confedaration. Process ya kwanza ndio hii hapa ya kuandika katiba ya EAC. Kuwa na mazoea ya kusoma taarifa kwanza kabla ya kutupia comment zako za ajabu ajabu.
Sio kweli unayosema, nchi za EAC zilisema zinataka kuanzisha "political federation ", Tanzania pekee ndio ikakataa na kusema kwamba kabla ya kuanzisha federation, kwanza lazima tukamilishe mambo ya kisera na kifedha, Tanzania ilikua na wasiwasi juu ya umiliki wa ardhi ktk hiyo east Africa political federation.

Baada ya kauli hiyo, nchi zilizobaki zikaendelea na zoezi la kuandika katika, kwa Mara ya kwanza zoezi la kuandika katiba lilifanyika Uganda 2013, huo ulikua mwanzo wa CoW.
 
Sio kweli unayosema, nchi za EAC zilisema zinataka kuanzisha "political federation ", Tanzania pekee ndio ikakataa na kusema kwamba kabla ya kuanzisha federation, kwanza lazima tukamilishe mambo ya kisera na kifedha, Tanzania ilikua na wasiwasi juu ya umiliki wa ardhi ktk hiyo east Africa political federation.

Baada ya kauli hiyo, nchi zilizobaki zikaendelea na zoezi la kuandika katika, kwa Mara ya kwanza zoezi la kuandika katiba lilifanyika Uganda 2013, huo ulikua mwanzo wa CoW.
Political federation ilikataliwa na viongozi wote wa EAC, isipokuwa M7. Yeye ndiye aliyekuwa akiendeleza hoja hiyo tangu hapo awali. Political CONFEDERATION ndio ilikubaliwa na marais wote wa EAC. Katiba ya EAC itaendeleza mfumo huo wa confedaration na sio federation. Kuwa makini jombaa.
 
Biashara sio kushobokeana, na 'mafeelings', hapo ndio huwa mnakosea. Nimeitaja Ethiopia kwasababu ya uchumi wao mkubwa na kwamba tuna mengi ya kujifunza kutoka kwao. Biashara kati ya Kenya na Ethiopia inazidi kunoga. Miundo mbinu kati ya Kenya na Ethiopia inazidi kuboreshwa. Benki za Kenya KCB, Equity zimeingia Ethiopia kwa kishindo. Kampuni kama KenGen imeshapata fursa kwenye miradi ya Geothermal kule Ethiopia. The opportunities are endless.
Leta statistics zenu mnopendaga, ulinganishe transactions kati ya kenya na ethiopia na kenya na tz, ipi kubwa.
 
Political federation ilikataliwa na viongozi wote wa EAC, isipokuwa M7. Yeye ndiye aliyekuwa akiendeleza hoja hiyo tangu hapo awali. Political CONFEDERATION ndio ilikubaliwa na marais wote wa EAC. Katiba ya EAC itaendeleza mfumo huo wa confedaration na sio federation. Kuwa makini jombaa.

Sikiliza kwa makini
 
Hizi blah blah blah unazozisema hakuna anayezikataa wala kuzipinga, tatizo ni pale hamsemi wala kutoa tamko kwamba mpewe muda, muda wote mnasema mumekubali na mumejitolea ila mnakwepa vikao. Mnafaa kutoa tamko mseme bado hampo tayari na kwamba mpo kwenye vikao vyenu vya ndani ili kuwaza na kutathmini na kudadavua umuhimu wa kukaa vikao vya EAC.

Msimamo wetu upo wazi, tatizo mnajaribu kujitoa ufahamu.
 

Sikiliza kwa makini

Wewe jamaa bana, mimi nakuletea makubaliano ya marais, ya mwaka wa 2017 kuhusu CONFEDERATION ya nchi za EAC. Wakati JPM alikuwa ndiye rais na wewe unaniletea video ya Kikwete akiongea kuhusu federation na sio confedaration. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Nimeshakueleza yote kwenye post yangu iliyotangulia hii hapa. M7 pekee yake ndiye aliyekuwa anataka political federation, nadhani alikuwa na matumaini ya kuwa rais wa kwanza wa EAC. Kenya, Tz, Rwanda na Burundi wote walikataa. Alafu mimi pia sijaunga mkono hoja ya muungano wa kisiasa wa aina yeyote ile, iwe federation au confederation. Wakenya tulipofika sasa hivi kikatiba, kisiasa na kidemokrasia hatuna lolote la kufaidi kutoka kwa nchi yeyote nyingine ukanda huu. Nyinyi wote mnaongozwa kidekteta na kiubabaishaji wakati sisi tulishatoka huko zamani, tena kwa jasho na damu na hatuna hamu kabisa ya kurudi nyuma.
 
Wewe jamaa bana, mimi nakuletea makubaliano ya marais, ya mwaka wa 2017 kuhusu CONFEDERATION ya nchi za EAC. Wakati JPM alikuwa ndiye rais na wewe unaniletea video ya Kikwete akiongea kuhusu federation na sio confedaration. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Nimeshakueleza yote kwenye post yangu iliyotangulia hii hapa. M7 pekee yake ndiye aliyekuwa anataka political federation, nadhani alikuwa na matumaini ya kuwa rais wa kwanza wa EAC. Kenya, Tz, Rwanda na Burundi wote walikataa. Alafu mimi pia sijaunga mkono hoja ya muungano wa kisiasa wa aina yeyote ile, iwe federation au confederation. Wakenya tulipofika sasa hivi kikatiba, kisiasa na kidemokrasia hatuna lolote la kufaidi kutoka kwa nchi yeyote nyingine ukanda huu. Nyinyi wote mnaongozwa kidekteta na kiubabaishaji wakati sisi tulishatoka huko zamani, tena kwa jasho na damu na hatuna hamu kabisa ya kurudi nyuma.
Huu Uzi unazungumzia mchakato wa katiba ya Political federation, wewe unazungumzia political confederation, ndio Mara zote tukisema ninyi akili zenu ni ndogo sana huwa masema tunawadhalilisha.

Sikiliza wewe, Kenya can't survive in with out Tanzania due to the following reasons.
1) Viwanda vyenu Vingi vinategemea "raw materials" kutoka Tanzania, Pamba, katani, coal, karatasi. Matunda.
2)Chakula mnategemea Tanzania by 70%. Hapa sizungumzii mahindi na mchele pekee, sikiliza hapa uone ni kwa kiasi gani Kenya ilivyotegemezi kwa Tanzania.https://youtu.be/gr6AJR_Hsgc
3)Wakenya wamewekeza sana Tanzania, zaidi ya kampuni 500 Zaidi ya $1.5B.
4) Bidhaa zenu zote zinazokwenda kusini mwa Africa zinapitia Tanzania.

Kuhusu katiba, ninyi mna akili ndogo hadi tunawadharau, hivi katiba imesaidia nini wakenya kama bado mkiandamana kudai haki zenu polisi wanawapiga risasi na kuwauwa kama wanyama na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa?
 
Back
Top Bottom