Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyakyusa..wajaluo hucheza mziki siku ya msiba ni baadhi ya mila..tambua mtu akifa ndio imeisha hiyo..hakuna jipya tena hapo.Usidhani
Sema ni mila gani zinafanya hayo pamoja na matumizi ya msalaba
Linastaajabisha kwako...ukienda mkoani huko ni kawaida..kwenye maziko kuna pombe na misos kama yoteKwanza kabisa hakuna mtu kapiga marufuku. Tumehoji uhalali wa hicho kitendo kulingana na maadili yetu sisi wanajamii wa kitanzania.
Hivyo vitu umelist havina uhusiano na tukio hili la kustaajabisha.
Usikimbilie kuhumu , je? Kama dini yake ndiyo yenye kumruhusu hivyo?Kabisa.... Huku ni kukosa adabu na ni ibada za giza kabisa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kula chakula na kufanya hafla ya Chakula juu ya makaburi.
HatariHala inatokea na mimba inatengenezwa hapo🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hatari sana👣👣👣
Kwani msalaba una shida gani mkuu?Uhuru bila kuvunja sheria
# za nchi yako
# imani yako
# jamii yako
Wangeondo huo msalaba wakaendelea na jambo lao
Huyo mtu alishazikwa kitambo hapo wanamkumbuka..its like celebrating tho ni weird in a way..maana nmewaza kama mi mtu wako wa karib mzaz or wateva huwez kua na guts hzo..mtu bak anaweza fanya hvo ila si watoto wake au mkewe..unless sjui iwejeNi kawaida meza ya Pombe na misosi kuwa kaburi? Mikoa ipi mfano
Najua misiba mingi ina kula na kunywa
Wewe kwa kuangalia unaona hao ni Watu baki Hawana ukaribu na marehemu? Kwao ni kawaida maana ni utamaduni waoHuyo mtu alishazikwa kitambo hapo wanamkumbuka..its like celebrating tho ni weird in a way..maana nmewaza kama mi mtu wako wa karib mzaz or wateva huwez kua na guts hzo..mtu bak anaweza fanya hvo ila si watoto wake au mkewe..unless sjui iweje
Unafahamu mila za maziko za kijaluo???Ninavyojua mimi kwenye misiba huwa kuna utani kati ya watani ambayo inasaidia kupunguza uchungu na kubadili hali ya hewa kwa muda kwa kuwaondoa wafiwa kwenye tension ya msiba walau kwa dakika chache, bila kumvunjia marehemu heshma au kuleta taharuki
Lakini leo nimekutana na hii clip nikabaki na mshangao. Nimejiuliza kweli hii ndio style ya ku celebrate maisha ya aliyetangulia?
Huyu marehemu yawezekana akawa mzazi wa mtu, mtoto wa mtu, mume au mke wa mtu. Hivi watu wake wa karibu wanalichukuliaje?
Wengi wetu tuna imani zetu zinazotufundisha heshma na tararibu za kumhifadhi marehemu, maiti, taratibu za maziko, utunzwaji wa makaburi na mambo mengine yahusuyo.
Kwa hili lililotokea hapa sijui viongozi wa kiimani wanasemaje ila kwakweli ipo haja ya kujifunza na kuwafundisha vijana wetu mambo mengi ya kiimani na kijamii
View attachment 1888648
Mimi ninachojua ni kwamba watu huyazuru makaburi kufanya kumbukumbu ya wapendwa wao wakiwa na imani kwamba wanawapenda na wanawatendea wema kwa kuheshimisha hata pale walipohifadhiwa
Uislam
Niliwahi kuambiwa na babu yangu kwamba Kwenye uislam tunayazuru makaburi ili yatukumbushe akhera kwamba ipo siku tutalala
Ukristo
Hesabu 19 16
Mtu yeyote akigusa mwili wa mtu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida nje ya nyumba, au akigusa mfupa wa mtu au kaburi, atakuwa najisi kwa siku saba.
Sijui hiki kilichofanyika hapa ni matokeo ya ushamba, ujinga, ukafiri au ni nini. Huyu marehemu sijui ni wa jamii gani
Kwanza Mungu aipumzishe roho ya huyo marehemu simon kama sijakosea ,pili yawezekana huyo alikua mgonjwa na hakuna aliyekwenda kumtizama wala kujua hali yake ila baada ya kifo wameamua kufanya karamu ambayo ni haramu maana haimsaidii chochote marehemu zaidi ya ufahari kwa wafu wa baadae ,tatu Niliwahi kusema wakati fulani kwamba social media ni janga kubwa baada ya covid19 ,ila kwa sasa yaweza ikashika hata nambari moja ,simu hizi zimeleta mengi ambayo yametuingiza katika kuishi maisha ya ubatili yasiyo na uhalisia,tumezoea kifo bila kuelewa juu ya fumbo hili ,psychologically maisha binafsi ya mtu ni usiri ila kwa sasa ukitaka kumjua mtu mtafute katika social media utamjua A-Z maana kiuhalisia binadamu anasahau ila technology haiwezi kusahau tuwe makini turudi katika asili yetuHii jamii itakua haina wakubwa!! Ni wahuni tuu
Waacheni watu waishi maisha yao tusipangiane mnajikuta ibado ya giza mmezijuaje kama sio nyie ni wagizaKabisa.... Huku ni kukosa adabu na ni ibada za giza kabisa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kula chakula na kufanya hafla ya Chakula juu ya makaburi.
Mara usifumanie bila cheti cha ndoaLet people live.....
Maisha yamekua magumu
Tukiweka makatazo kila kona nchi inakua haina ladha
Mara huku unaskia madada poa waamezuiwa
Mara baa mwisho sa sita
Mara wanawake wasivae nguo fup
Makatazo meng yasiyo na msing
Yabak makatazo yenye msing tu
Kama marufuk ya ushoga
Na imoralities nyingne
Mengne yaachwe ..watu wanamaisha magum sana.
Taifa litakalo pita wakati huu ni china pekee,kumbukeni hata harusi zimebomoka imebaki kutiana mikosi kwa kuanika mavitu ambayo sii.muhimu,hatimae shetani nae anaingia hapo.