Shughuli za Misiba, Maziko na Maombolezo zimeanza kupoteza maadili ya asili na imani zetu, Utu na Ubinadamu katika jamii

Sijaona kosa walilolifanya. Tuna uhuru wa kuabudu na wao hivo ndivyo ibada yao ya kumkumbuka marehemu inavyowatuma.

NCHI HII SIYO DHAMBI KUWA WA TOFAUTI.
 
Ndio maana hii nchi haiendelea kazi kupangiana maisha..acheni watu waishi maisha yao wanayo pendezwa nayo..kikubwa hawavunji sheria za nchi..hayo maandili wanayoyaongelea utadhani wanayo watu wamejificha kwenye kichaka cha unafiki.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe ni sehemu ya kiburudisho,starehe,

Sioni Kama wamekosea.

Inategemeana na mtazamo wako na utamaduni wako.

Kuna jamii mtu akifa, pombe ndio huwa sehemu ya kituliza ubongo, tambiko nk


Jambo la muhimu;
Elewa duniani kuna Mila na desturi nyingi.
Ukiona Jambo Fulani ni Baya, basi jua Kwa wengine ni zuri.
 
👍🙏
 


Taratibu za misiba, maziko na shamba la maziko au makaburi kwa imani mila na desturi zetu zinajulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…