Shughuli za Ujenzi Zimeongezeka sana Mitaani Awamu Hii Ya Rais Samia na kutoa Fursa Ya Upatikanaji wa Pesa kwa vijana Mitaani

Shughuli za Ujenzi Zimeongezeka sana Mitaani Awamu Hii Ya Rais Samia na kutoa Fursa Ya Upatikanaji wa Pesa kwa vijana Mitaani

Wajenzi wenyewe ndio hawa mpaka wamekuta Tiktok ya ccm dodoma kuwa chama wajinga.
IMG_0612.jpeg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hakuna kipindi Ambacho nimeshuhudia mafundi ujenzi wakiwa Bize mitaani kama awamu hii ya Rais Samia. Muda wote na siku zote unaona mafundi wakiwa katika site mbalimbali wakiendelea na shughuli za ujenzi. Ni wao tu kuchagua mahali pa kwenda kati ya miradi ya serikali au ya watu binafsi.

Ukipita mitaani unaona maeneo mbalimbali ujenzi wa Miradi ya shule ,zahanati na vituo vya afya ukiendelea kufanyika na kutekelezwa kwa kasi kubwa sana. Lakini pia ukija kwa watu binafsi nako mambo ni moto kwelikweli kwa sababu watu wanainua majengo na miradi mbalimbali kama uyoga. Hali inayopelekea mafundi kuwa Bize muda wote.

Hali hii imechochea hata mzunguko wa pesa kuwa wenye afya mitaani .kwa sababu biashara za vifaa vya ujenzi,chakula n.k.Vimekuwa na soko kubwa sana mitaani. Kila unakopita unaona nyumba ,magodown ,fremu za biashara,nyumba za kupangisha zikijengwa usiku na mchana.

Hiyo yote ni kutokana na sera nzuri za kiuchumi za Rais Samia ambaye ameamua kugusa na kujenga uchumi unaogusa Maisha ya watanzania moja kwa moja. Ndio maana kwa sasa husikii habari za vyuma vimekaza. Kwa sasa ni wewe tu kujituma kuchapakazi na kuamua kutokuchagua kazi.

Hii ndio maana kila mtanzania anaona nafasi ya yeye kutimiza ndoto zake wakati huu wa Rais Samia.ndio maana watu wanaunga mkono Rais Samia kuendelea kuongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. kwa sababu wanaona nuru na tumaini mbele yao .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • Screenshot_20250213_083039_Instagram.jpg
    Screenshot_20250213_083039_Instagram.jpg
    510.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250213_083034_Instagram.jpg
    Screenshot_20250213_083034_Instagram.jpg
    446.2 KB · Views: 1
  • IMG-20250213-WA0034.jpg
    IMG-20250213-WA0034.jpg
    57.5 KB · Views: 1
Huo ni uongo, niko Dodoma hakuna awamu imerudisha nyuma ujenzi wa jiji kama ya huyu bibi...yeye mwenyews hatulii kabisa lkulu mpya ya chamwino iliyokamilishwa ujenzi kwa mabilioni ya pesa za walipakodi!.
 
Huo ni uongo, niko Dodoma hakuna awamu imerudisha nyuma ujenzi wa jiji kama ya huyu bibi...yeye mwenyews hatulii kabisa lkulu mpya ya chamwino iliyokamilishwa ujenzi kwa mabilioni ya pesa za walipakodi!.
Mzururaji
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hakuna kipindi Ambacho nimeshuhudia mafundi ujenzi wakiwa Bize mitaani kama awamu hii ya Rais Samia. Muda wote na siku zote unaona mafundi wakiwa katika site mbalimbali wakiendelea na shughuli za ujenzi. Ni wao tu kuchagua mahali pa kwenda kati ya miradi ya serikali au ya watu binafsi.

Ukipita mitaani unaona maeneo mbalimbali ujenzi wa Miradi ya shule ,zahanati na vituo vya afya ukiendelea kufanyika na kutekelezwa kwa kasi kubwa sana. Lakini pia ukija kwa watu binafsi nako mambo ni moto kwelikweli kwa sababu watu wanainua majengo na miradi mbalimbali kama uyoga. Hali inayopelekea mafundi kuwa Bize muda wote.

Hali hii imechochea hata mzunguko wa pesa kuwa wenye afya mitaani .kwa sababu biashara za vifaa vya ujenzi,chakula n.k.Vimekuwa na soko kubwa sana mitaani. Kila unakopita unaona nyumba ,magodown ,fremu za biashara,nyumba za kupangisha zikijengwa usiku na mchana.

Hiyo yote ni kutokana na sera nzuri za kiuchumi za Rais Samia ambaye ameamua kugusa na kujenga uchumi unaogusa Maisha ya watanzania moja kwa moja. Ndio maana kwa sasa husikii habari za vyuma vimekaza. Kwa sasa ni wewe tu kujituma kuchapakazi na kuamua kutokuchagua kazi.

Hii ndio maana kila mtanzania anaona nafasi ya yeye kutimiza ndoto zake wakati huu wa Rais Samia.ndio maana watu wanaunga mkono Rais Samia kuendelea kuongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. kwa sababu wanaona nuru na tumaini mbele yao .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
MImi naona waafanya ujenzi wengi ni watu watumishi wa umma na serikalini sasa sijui ujenzi huo kama unaendana na kipato!
 
Nafikiri upo mbali na ukweli wakandarasi na wazabuni wanaofanya biashara na serikali ni vilio na kusaga meno wengi wamefilisika dhamana zao zinapigwa minada na taasisi za fedha kisa kucheleweshewa malipo na taasisi za serikali kama Tanroads, Tarura, Ruwasa kwa zaidi ya mwaka sasa. Utabisha lakini hali halisi ndio hio maana mteja mkubwa wa shughuli za ujenzi na zabuni ni serikali katika nchi hii sasa kama hawalipwi stahiki zao kodi itapatikana vipi, mishahara, wadeni wanalipwa vipi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hakuna kipindi Ambacho nimeshuhudia mafundi ujenzi wakiwa Bize mitaani kama awamu hii ya Rais Samia. Muda wote na siku zote unaona mafundi wakiwa katika site mbalimbali wakiendelea na shughuli za ujenzi. Ni wao tu kuchagua mahali pa kwenda kati ya miradi ya serikali au ya watu binafsi.

Ukipita mitaani unaona maeneo mbalimbali ujenzi wa Miradi ya shule ,zahanati na vituo vya afya ukiendelea kufanyika na kutekelezwa kwa kasi kubwa sana. Lakini pia ukija kwa watu binafsi nako mambo ni moto kwelikweli kwa sababu watu wanainua majengo na miradi mbalimbali kama uyoga. Hali inayopelekea mafundi kuwa Bize muda wote.

Hali hii imechochea hata mzunguko wa pesa kuwa wenye afya mitaani .kwa sababu biashara za vifaa vya ujenzi,chakula n.k.Vimekuwa na soko kubwa sana mitaani. Kila unakopita unaona nyumba ,magodown ,fremu za biashara,nyumba za kupangisha zikijengwa usiku na mchana.

Hiyo yote ni kutokana na sera nzuri za kiuchumi za Rais Samia ambaye ameamua kugusa na kujenga uchumi unaogusa Maisha ya watanzania moja kwa moja. Ndio maana kwa sasa husikii habari za vyuma vimekaza. Kwa sasa ni wewe tu kujituma kuchapakazi na kuamua kutokuchagua kazi.

Hii ndio maana kila mtanzania anaona nafasi ya yeye kutimiza ndoto zake wakati huu wa Rais Samia.ndio maana watu wanaunga mkono Rais Samia kuendelea kuongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. kwa sababu wanaona nuru na tumaini mbele yao .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Mbuzi hii Lucas
 
Wala Samia hausiki, ni hustle zangu tu za maisha ndo zimeniwezesha kujenga Wala Samia hausiki narudia kusema Samia hausiki na Mimi kujenga zile nyumba zangu za wapangaji ni Kwa uwezo wa Mungu na hustle zangu za maisha, Narudia Samia hausiki
Ndugu zangu Watanzania,

Hakuna kipindi Ambacho nimeshuhudia mafundi ujenzi wakiwa Bize mitaani kama awamu hii ya Rais Samia. Muda wote na siku zote unaona mafundi wakiwa katika site mbalimbali wakiendelea na shughuli za ujenzi. Ni wao tu kuchagua mahali pa kwenda kati ya miradi ya serikali au ya watu binafsi.

Ukipita mitaani unaona maeneo mbalimbali ujenzi wa Miradi ya shule ,zahanati na vituo vya afya ukiendelea kufanyika na kutekelezwa kwa kasi kubwa sana. Lakini pia ukija kwa watu binafsi nako mambo ni moto kwelikweli kwa sababu watu wanainua majengo na miradi mbalimbali kama uyoga. Hali inayopelekea mafundi kuwa Bize muda wote.

Hali hii imechochea hata mzunguko wa pesa kuwa wenye afya mitaani .kwa sababu biashara za vifaa vya ujenzi,chakula n.k.Vimekuwa na soko kubwa sana mitaani. Kila unakopita unaona nyumba ,magodown ,fremu za biashara,nyumba za kupangisha zikijengwa usiku na mchana.

Hiyo yote ni kutokana na sera nzuri za kiuchumi za Rais Samia ambaye ameamua kugusa na kujenga uchumi unaogusa Maisha ya watanzania moja kwa moja. Ndio maana kwa sasa husikii habari za vyuma vimekaza. Kwa sasa ni wewe tu kujituma kuchapakazi na kuamua kutokuchagua kazi.

Hii ndio maana kila mtanzania anaona nafasi ya yeye kutimiza ndoto zake wakati huu wa Rais Samia.ndio maana watu wanaunga mkono Rais Samia kuendelea kuongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. kwa sababu wanaona nuru na tumaini mbele yao .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Back
Top Bottom