Shughuli zaanza kuondoa raia Rafah, ambayo ndio ngome ya mwisho ya HAMAS

Shughuli zaanza kuondoa raia Rafah, ambayo ndio ngome ya mwisho ya HAMAS

Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni

Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Hamas waliomuuwa Joshua hawana kambi za kijeshi wanaishi humo humo mtaani na wake zao na watoto. Kazi ni kuchungulia dirishani sebuleni na kufyatua RPG kwenye askari wa Israel wanaopita kwa miguu na mzinga. Kifuatacho Israel wanachunguza hilo shambulio limetoka wapi then anashusha jengo zima....kifuatacho ITV ni kilio kama chako kuwa IDF inauwa wanawake na watoto bila kutaja gaidi aliyekufa pamoja nao. Wengine mchana wanashinda mashimoni halafu usiku wanaenda kupiga miti kwa wake zao...! HATA KAMA ANGEKUWA RUSSIA AU CHINA AU US ANGEUWA TU WATOTO KWENYE MAZINGIRA YA NAMNA HII
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Hili swali ulitakiwa ulielekeze kwa Hamas. Watu wa Gaza wamewakosea nini mpaka waende kumuamsha simba aliyelala ?
 
Mayahudi wana roho nzuri sana,yani wanatoa taarifa kabisa raia wema waondoke ili magaidi yashughulikiwe vzr,ingekua magaidi hayana muda huo yao ni kujiripua na kuua bila kujari,hakika magaidi ya kidini ni tatizo kwa ulimwengi,

Mayahudi yabarikiwe duniani kote milele amina.

Ingekua Warusi au Wachina, aisei mbona tungeongea mengine leo, Mrusi hupiga bila kutaka kujua kuna bibi au babu au mtoto, carpet bombing.
 
Hivi issue kidogo inashangaza, Israel ingekuwa na nia ya kupata mateka kupitia negotiations nadhani ingewezekana na mateka wangepatikana hata kama siyo wote.
Sasa cha kushangaza Israel hana haja tena na mateka wameamua kuwatoa kafara ili wapate uhalali wa kuwafuata hamas popote walipo na kuharibu miji ya ukanda wa Gaza. Tusiziraumu nchi ya kiarabu kwa kutoshirikiana na Hamas moja kwa moja, maana yake zitaonekana zilipanga mashambulizi ya 7 October, kama hamasa wanaweza waachia mateka hao wachache waliobakina waache kupigana na wajichanganye na raia. Kuendelea kupigana ni kuwakaribisha IDF waendelee kuivuruga Gaza. Tunaomba vita iishe
 
Hamas waliomuuwa Joshua hawana kambi za kijeshi wanaishi humo humo mtaani na wake zao na watoto. Kazi ni kuchungulia dirishani sebuleni na kufyatua RPG kwenye askari wa Israel wanaopita kwa miguu na mzinga. Kifuatacho Israel wanachunguza hilo shambulio limetoka wapi then anashusha jengo zima....kifuatacho ITV ni kilio kama chako kuwa IDF inauwa wanawake na watoto bila kutaja gaidi aliyekufa pamoja nao. Wengine mchana wanashinda mashimoni halafu usiku wanaenda kupiga miti kwa wake zao...! HATA KAMA ANGEKUWA RUSSIA AU CHINA AU US ANGEUWA TU WATOTO KWENYE MAZINGIRA YA NAMNA HII
Magaidi mkishirikiana na mazayuni mtafyekwa tu yaani
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Hao ni watoto wa magaidi. Kimsingi ni generation wa ugaidi. Wspigwe tu
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Ubabe tu. Ukishakuwa na nguvu omba Mungu akupe busara. Similar to Putin against Ukraine.
 
Hapo Rafah ndiko wamekimbilia wote pamoja na uongozi, panahitaji usafi kwa mabomu.....raia waondoshwe ili kuepuka lawama za kupelekana ICJ...........

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has ordered the military to prepare to evacuate civilians from the southern Gazan city of Rafah ahead of an expanded offensive against Hamas.
Some 1.5 million Palestinians are in Rafah to seek refuge from Israeli combat operations in the rest of Gaza.
The US has warned Israel an invasion of Rafah would be a "disaster", while the EU and the UN both expressed concern.
Aid groups say it is not possible to evacuate everyone from the city.

Mr Netanyahu told military and security officials to "submit to the cabinet a combined plan for evacuating the population and destroying the battalions" of Hamas, his office said on Friday.
"It is impossible to achieve the goal of the war without eliminating Hamas, and by leaving four Hamas battalions in Rafah. On the contrary, it is clear that intense activity in Rafah requires that civilians evacuate the areas of combat," the statement added.

Earlier this week, Mr Netanyahu said he had ordered troops to "prepare to operate" in Rafah and that "total victory" by Israel over Hamas was just months away.
He made the comments while rejecting Hamas's latest proposed ceasefire terms. The BBC has been told that negotiators for Hamas are leaving the Egyptian capital Cairo, with talks between the two sides now on hold.
Mwenzio aliokuwa na chuki na uislam mwisho wa siku alisilimu
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Kwani waliouliwa oct 7 walifanya nini mpk wauliwe ...ukijibu hilo basi na vita inaisha
 
Mwenzio aliokuwa na chuki na uislam mwisho wa siku alisilimu

Yalitabiriwa, watu wanashindwa na safari na kujiunga freemason, illuminati, uislamu na mavitu yote ya kuwapeleka jehanum.
Mathayo 24:13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
Hata MUNGU anapatiliza maovu ya wazazi hadi kizazi cha nne, baba zao walivamia Israel na kuchukua mateka hivyo watoto lzm walipe na uvamizi ni tangazo la Vita, na Vita haina macho, uwe na siku njema.
 
Back
Top Bottom