Shughuli zaanza kuondoa raia Rafah, ambayo ndio ngome ya mwisho ya HAMAS

Shughuli zaanza kuondoa raia Rafah, ambayo ndio ngome ya mwisho ya HAMAS

Acheni kujificha nyuma ya watoto, piganeni kama magaidi wengine akina Alshabaab, wao hupambana wenyewe.
Kila eneo na eneo na vita na mbinu zake.
Alshabab na wengine wana ardhi na maeneo ya wazi kujidai na hakuna kuzingirwa.
Ingekuwa Hamas wana mazingira kama ya Houth basi wangekuwa washarudisha ardhi zao na wapalestina kujazana kwenye mashamba ya mababu zao.
 
Unadhani katika hili sakata wamezalisha HAMAS wengine wangapi ?!!!

You cut one Three Grows...., Terrorism na Brainwashing haimalizwi kwa mabavu bali kwa akili, education and not acting like a jerk...
 
Kila eneo na eneo na vita na mbinu zake.
Alshabab na wengine wana ardhi na maeneo ya wazi kujidai na hakuna kuzingirwa.
Ingekuwa Hamas wana mazingira kama ya Houth basi wangekuwa washarudisha ardhi zao na wapalestina kujazana kwenye mashamba ya mababu zao.

Hamna cha eneo na eneo, wote ni magaidi wa uislamu, ila hawa wa HAMAS ni wajinga sana wanajificha kwenye watoto.
 
Merkava
Infatry
Ndio mpango mzima hapo gaza kwasasa
 
Netanyahu is doing what the Nazis did to his people in the 40s.
Wale watoto wakipalestina wamemkosea Nini Netanyahu?? Mkinijibu hili endeleeni na Vita.
penda kufanya utafit kabla hujaanza changia lolote
 
Hapo Rafah ndiko wamekimbilia wote pamoja na uongozi, panahitaji usafi kwa mabomu.....raia waondoshwe ili kuepuka lawama za kupelekana ICJ...........

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has ordered the military to prepare to evacuate civilians from the southern Gazan city of Rafah ahead of an expanded offensive against Hamas.
Some 1.5 million Palestinians are in Rafah to seek refuge from Israeli combat operations in the rest of Gaza.
The US has warned Israel an invasion of Rafah would be a "disaster", while the EU and the UN both expressed concern.
Aid groups say it is not possible to evacuate everyone from the city.

Mr Netanyahu told military and security officials to "submit to the cabinet a combined plan for evacuating the population and destroying the battalions" of Hamas, his office said on Friday.
"It is impossible to achieve the goal of the war without eliminating Hamas, and by leaving four Hamas battalions in Rafah. On the contrary, it is clear that intense activity in Rafah requires that civilians evacuate the areas of combat," the statement added.

Earlier this week, Mr Netanyahu said he had ordered troops to "prepare to operate" in Rafah and that "total victory" by Israel over Hamas was just months away.
He made the comments while rejecting Hamas's latest proposed ceasefire terms. The BBC has been told that negotiators for Hamas are leaving the Egyptian capital Cairo, with talks between the two sides now on hold.
Uharo mtupu siyo tena Shifaa Hospital si ulituambia humu kuwa na Makao Makuu ya Hamas. Vipi wale mateka 250 wa Israel waliokolelwa😂😂 harafu kuna mapunguani wanaamini habari zako JF kuna vituko sana😂
 
Back
Top Bottom