Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia:
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia:
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali