Shuhuda adai Hayati Ali Kibao wa CHADEMA alipigwa kichwani na kutobolewa macho

Shuhuda adai Hayati Ali Kibao wa CHADEMA alipigwa kichwani na kutobolewa macho

Tunataka tuwasikie na Viongozi Wastaafu kukemea haya Mauaji yanayoendelea Nchini.
 
Hivi hii kutoboa macho inafanywa na binadamu wa namna gani? kweli kabisa unatoboa macho ya binadamu mwenzako? Kwa hasira gani hizo ulizonazo kwake? sielewi kwa kweli...
 
Nimezungumza concept ndugu yangu. Kwamba tukiitumia hii kwamba kila kitu polisi tunaweza kutoa loophole kwa magenge ya kihalifu kujipenyeza. Tujadili kama taifa tuwe na uelewa wa pamoja. Ndiyo point.🙏🙏🙏
Ukiwaondoa polisi wa kizazi hiki, magenge gani mengine ya kihuni umewahi yaona ktk taifa lako, wamekua wakihubiri wananchi tusijichukulie sheria tena kwa makosa yaliyo wazi, tz police hujichukulia sheria mkononi kwa kubambikiza makosa, then nani anaweza wekwa kwenye magenge ya kihuni ktk taifa letu pendwa
 
Ukiwaondoa polisi wa kizazi hiki, magenge gani mengine ya kihuni umewahi yaona ktk taifa lako, wamekua wakihubiri wananchi tusijichukulie sheria tena kwa makosa yaliyo wazi, tz police hujichukulia sheria mkononi kwa kubambikiza makosa, then nani anaweza wekwa kwenye magenge ya kihuni ktk taifa letu pendwa
Unajua kuna uhalifu wa kuvuka mipaka? Unakumbuka uporaji wa kutumia silaha za kivita fedha za NMB Ubungo hadi afande Solomon akapandishwa cheo? Unakumbuka watu walikuwa wakipiga silaha za kivita Samora na kufunga mitaa? Ndiyo maana nikasema dhana ya uhalidu huu inaweza kuwa na sources nyingi. Tukidhani source ni polisi tunaweza yapa mwanya magenge ya kihalifu.🙏🙏🙏
 
Limewekwa vile kimkakati lisiwe Open ili watu wasione kinachofanyika.....Roma naye alipelekwa mule mule na genge la mkolomije.....Inatakiwa wananchi wa maeneo yale waende na mafuta ya taa wachome huo msitu maana imekuwa kama kichaka cha kufanyia uhalifu.
Safi ni kutia moto tu
 
Back
Top Bottom