Umeambiwa kama anahusika.....?? Usichafue mtu bila ushahidi..........kwani kule arusha watu wameripoti kupotea kwa ndugu zao??Makonda Mungu anamuona.
Kwanza kabisa, kama ambavyo Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu alivyosema kila mtu amehuzunishwa. Tusubiri uchunguzi. Pili, nakataa kunyooshea kidole mamlaka za dola kwa sababu ya baadhi ya matukio ya hivi karibuni.
Kuna watu walipotea kumbe walikuwq kwa waganga Singida. Wengine matatizo ya ndoa na wengine chuki za biashara na kifamilia na mapenzi kama yule dada kada wa CCM aliyekatwa katwa kama mbuzi na jamaa wake wa Sinza. Simaanishi na hili la Mtanzania mwenzetu mzee Kibao ni la aina hiyo kwani uchunguzi bado; ila nahofu tukinyooshea kidole polisi au mamlaka nyingine basi magenge ya kihalifu yanaweza kutumia mwanya huo kutimjza dhamira ovu. Tusimame pamoja na mamlaka za dola kusaidiana kujua tatizo tuendelee kuishi kwa amani.πππ
Hiki kikundi kinachotenda huu unyama kinapaswa kuhukumiwa kisheria..msikilizeni huyo shuhuda.
..anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
..Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
..wahusika wa Task Force wanapaswa kushtakiwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=-85pFwuVncs
Ulevi wa damu za watu umewaziba kutoona hakiKwanza kabisa, kama ambavyo Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu alivyosema kila mtu amehuzunishwa. Tusubiri uchunguzi. Pili, nakataa kunyooshea kidole mamlaka za dola kwa sababu ya baadhi ya matukio ya hivi karibuni.
Kuna watu walipotea kumbe walikuwq kwa waganga Singida. Wengine matatizo ya ndoa na wengine chuki za biashara na kifamilia na mapenzi kama yule dada kada wa CCM aliyekatwa katwa kama mbuzi na jamaa wake wa Sinza. Simaanishi na hili la Mtanzania mwenzetu mzee Kibao ni la aina hiyo kwani uchunguzi bado; ila nahofu tukinyooshea kidole polisi au mamlaka nyingine basi magenge ya kihalifu yanaweza kutumia mwanya huo kutimjza dhamira ovu. Tusimame pamoja na mamlaka za dola kusaidiana kujua tatizo tuendelee kuishi kwa amani.πππ
Baadhi ya polisi siyo watu hata kidogo. Na wanao kiendesha hiki kikundi ndani ya jeshi la polisi, naamini na wenyewe siku yao ikifika; hakika watakufa kifo kibaya sana kutokana na huu ukatili wao...Ni genge la ajabu sana.
..kwa mfano, Sativa aliyetekwa anadai aliteswa ktk kituo cha Polisi Oysterbay.
..pia Sativa anadai waliomteka walikuwa wanavuta bangi, na kunywa pombe.
Comrade, kuna mtu hapo chini amekuambia huna akili! Tafakari halafu uchukue hatua. Inawezekana akawa yuko sahihi, hata kama umetumia uhuru wako wa kutoa maoni.Kwanza kabisa, kama ambavyo Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu alivyosema kila mtu amehuzunishwa. Tusubiri uchunguzi. Pili, nakataa kunyooshea kidole mamlaka za dola kwa sababu ya baadhi ya matukio ya hivi karibuni.
Kuna watu walipotea kumbe walikuwq kwa waganga Singida. Wengine matatizo ya ndoa na wengine chuki za biashara na kifamilia na mapenzi kama yule dada kada wa CCM aliyekatwa katwa kama mbuzi na jamaa wake wa Sinza. Simaanishi na hili la Mtanzania mwenzetu mzee Kibao ni la aina hiyo kwani uchunguzi bado; ila nahofu tukinyooshea kidole polisi au mamlaka nyingine basi magenge ya kihalifu yanaweza kutumia mwanya huo kutimjza dhamira ovu. Tusimame pamoja na mamlaka za dola kusaidiana kujua tatizo tuendelee kuishi kwa amani.πππ
Kama wale waliompiga risasi Tundu Lissu mpaka leo hakuna aliyekamatwa! Basi utambue fika hakuna maajabu yatakayo tokea. Ila wangekuwa hawahusiani na mfumo, mapema tu wangetiwa mbaroni.Usikute watekaji wameshagonga visa wako nchi nyingine saa hii.
Serikali yetu haiaminiki hata kwa 2% wanatoa maagizo wakati kuna pending issues zinatofanana na hii hakuna chochote kilichofanyika hadi sasa.
Ni aibu mno kuwa mtanzania.
Baadhi ya polisi siyo watu hata kidogo. Na wanao kiendesha hiki kikundi ndani ya jeshi la polisi, naamini na wenyewe siku yao ikifika; hakika watakufa kifo kibaya sana kutokana na huu ukatili wao.
Ni vilaza tu wachache ndani ya CCM; ambao kwao siasa ni uadui, ni vita, ni kuuana, kuumizana, nk. Na siyo kushindana kwa hoja...tunawasema Polisi huku tukiwasahau wanaowatuma?
..tujiulize nani anawatuma na kuwalipa watekaji na wauwaji?
Kwa maana kwamba serikali imeamua kuwa na kundi la wahalifu wanao lifanyia kazi ovu?..Ni genge la ajabu sana.
..kwa mfano, Sativa aliyetekwa anadai aliteswa ktk kituo cha Polisi Oysterbay.
..pia Sativa anadai waliomteka walikuwa wanavuta bangi, na kunywa pombe.
Kuna umuhimu watangazaji wote wawe na degree. Huyu anayehojiwa hakupaswa kuonekana sura pia hata sauti ilipaswa iwe manipulated, na sina hakika kama alijulishwa kuhusu usalama na faraga kama maadili yanavyotaka..msikilizeni huyo shuhuda.
..anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
..Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
..wahusika wa Task Force wanapaswa kushtakiwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=-85pFwuVncs
Wanaohojiwa kama huyo bodaboda walipaswa kuzibwa sura zao kwa usalama wao..msikilizeni huyo shuhuda.
..anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
..Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
..wahusika wa Task Force wanapaswa kushtakiwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=-85pFwuVncs
Hawawezi kusafisha ni sehem maalum kwa kazi hiyo.
Tunazidi kuingia kwenye Totalitarianism.Hii ni Tanzania kweli?? Au naota? Si wangemuua tu?
Kwanza kabisa, kama ambavyo Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu alivyosema kila mtu amehuzunishwa. Tusubiri uchunguzi. Pili, nakataa kunyooshea kidole mamlaka za dola kwa sababu ya baadhi ya matukio ya hivi karibuni.
Kuna watu walipotea kumbe walikuwq kwa waganga Singida. Wengine matatizo ya ndoa na wengine chuki za biashara na kifamilia na mapenzi kama yule dada kada wa CCM aliyekatwa katwa kama mbuzi na jamaa wake wa Sinza. Simaanishi na hili la Mtanzania mwenzetu mzee Kibao ni la aina hiyo kwani uchunguzi bado; ila nahofu tukinyooshea kidole polisi au mamlaka nyingine basi magenge ya kihalifu yanaweza kutumia mwanya huo kutimjza dhamira ovu. Tusimame pamoja na mamlaka za dola kusaidiana kujua tatizo tuendelee kuishi kwa amani.πππ