Nyumba za Hamza hizo unafikiri watasogelea hapo?!πKwanini wasianze kulala mbere na hao wasomali kwanza?
Ni wasomali wanamiliki eneo hatarishi.
Jiulize km mbongo wewe una weza kwenda Mogadishu ufanye ubwege wako.
Huyu boda naye anaweza kutwekwa pia...msikilizeni huyo shuhuda.
..anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
..Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
..wahusika wa Task Force wanapaswa kushtakiwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=-85pFwuVncs
Sidhani.Serikali iliyowatuma Wahalifu inawezaje kuwakamata?
Ndio wale waliomuuwa Lissu?Ukiangalia aina ya mateso wanayopewa wahanga wa utekaji, utagundua watekaji ni wale wale.
Kwa hiyo comment yake huyo jamaa hana akili au atakuwa ndiye mtekaji mwenyeweComrade, kuna mtu hapo chini amekuambia huna akili! Tafakari halafu uchukue hatua. Inawezekana akawa yuko sahihi, hata kama umetumia uhuru wako wa kutoa maoni.
Na hivyo ndiyo man yofikiria kugeuzia kibao, hapo hamtoki, shame on you! Kwenye demokrasia serikali zima ingebidi ijiuzulu. We are ruled by thugs, with madame Carleone at the top. Unaagiza kuua halafu unaigiza kulia. You bastard hustlersKwanza kabisa, kama ambavyo Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu alivyosema kila mtu amehuzunishwa. Tusubiri uchunguzi. Pili, nakataa kunyooshea kidole mamlaka za dola kwa sababu ya baadhi ya matukio ya hivi karibuni.
Kuna watu walipotea kumbe walikuwq kwa waganga Singida. Wengine matatizo ya ndoa na wengine chuki za biashara na kifamilia na mapenzi kama yule dada kada wa CCM aliyekatwa katwa kama mbuzi na jamaa wake wa Sinza. Simaanishi na hili la Mtanzania mwenzetu mzee Kibao ni la aina hiyo kwani uchunguzi bado; ila nahofu tukinyooshea kidole polisi au mamlaka nyingine basi magenge ya kihalifu yanaweza kutumia mwanya huo kutimjza dhamira ovu. Tusimame pamoja na mamlaka za dola kusaidiana kujua tatizo tuendelee kuishi kwa amani.πππ
Ukatili wa aina yeyote haukubaliki.Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia:
wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia:
RIP Mwalimu Nyerere πππUkishaanza kula nyama ya mtu hauachi
Ngoja Tusubiri tuone Albadir Kurjuaan ya huko Tanga itakavyo fanya mambo yake !Napendekeza kama taifa tusome tena albadili ili wabaya wa haya matukio waadhibiwe
Nimezungumza concept ndugu yangu. Kwamba tukiitumia hii kwamba kila kitu polisi tunaweza kutoa loophole kwa magenge ya kihalifu kujipenyeza. Tujadili kama taifa tuwe na uelewa wa pamoja. Ndiyo point.πππUmeandika ujinga, mganga alisimamisha gari na kumshusha mhanga ndani ya gari?
Mwache ana uhuru wa kufikiri alivyofikiri. Akili ziko limited labda zake zimegonga hapo badala ya kujadili concept.πππComrade, kuna mtu hapo chini amekuambia huna akili! Tafakari halafu uchukue hatua. Inawezekana akawa yuko sahihi, hata kama umetumia uhuru wako wa kutoa maoni.
CCM hiyo ni laana yenu nyingine.Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia:
Nadhani hatujaelewana. Nimejadili concept ya watu kupotea na kuuawawa. Siyo tukio la ndugu yetu Ali Kibao. Nimesema uchunguzi wa hilo utatueleza ila dhana ya watu kupotea na kufariki tuangalie kwa mapana kwa maana yanaweza kuwa na sources nyingi.πππ..Waganga wa kienyeji hawana kawaida ya kutembea na bunduki / SMG, pamoja na pingu. Sio rahisi kueleweka ikiwa utahusisha utekwaji na mauaji ya Mzee Kibao na wahanga wa kienyeji.
Tujihami hata kwa ushirikina aseeKisasi hakikwepeki
So sad , nadhani tofauti za kisiasa au mtazamo hazitakiwi kufikia huku .Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona. Kwahiyo hile tafurani wengi wanalia wengine wanalalamika kwa sababu hili eneo kusema ukweli wangetuimarishia ulinzi, hili eneo sio mara ya kwanza mara nyingi na imeshakuwa kama dampo la kutupa watu. Shuhuda ameeleza"
"Kwa upande wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ununio Mwinijuma Shee amesema bwana mkubwa huu alitupwa siku ya tarehe 7 mwezi huu wa tisa nazani kati ya usiku mkubwa au alfajiri kwa sababu nilikuwa safarini mwenge nilipigiwa simu na mwananchi kwamba huku kuna marehemu au maiti."
"Sikuweza kurudi lakini na vijana wangu wanaweza kufuatilia masuala hayo kikubwa nikawapiga simu vijana wa polisi jamii na kuelekeza tukio lilipo na bahati nzuri wakaenda hapo wakashuhudia huyo walimkuta hawakumjuwa kwa jina wala kwa sura kuweza kumtambua kama moja ya mwananchi wetu. Lakini bahati nzuri Jeshi la Polisi nalo lilikuwa limeshafika kwahiyo Jeshi la Polisi wakaendelea kufanya kazi yao"
Mzee wa watu alipitia mateso makubwa sana.
Wahusika wanapaswa kushtakiwa.
Soma Pia: