Shuhuda: Gaidi alishuka kwenye gari akiwa na bastola na kuanza kuwapiga risasi polisi

Shuhuda: Gaidi alishuka kwenye gari akiwa na bastola na kuanza kuwapiga risasi polisi

Uvccm wanafundishwa ugaidi?

Uvccm ndio wasiojulikana?

Je polisi na uvccm kunauhusiano?

Bado maswali nimengi

Huyu bwana anaonekana ni ccm Kwenye picha.

Ccm wanafundisha ugaidi kwa wanachama wao?

Huyu Jamaa alipata wapi na nani alimfundisha matumizi sahihi ya dhana tofautitofauti za kivita?
 
Nyie wakuda mjicheki sana kwa dhulma zenu...
Chuki mnaijenga kwetu sisi raia wa kawaida sio nzuri.
Wengine fyuzi zimekatika afu unakuta ni dreva wa fuso atakuja aingie nalo kituoni
 
Nimeangalia taarifa ya habari Star tv na kuona mwandishi wao akimuhoji kijana mmoja aliyeshuhudia tukio mwanzo mwisho.

Kijana anadai gaidi Hamza alishushwa na gari fulami ( sijasikia vizuri kama ni ST au IST) na kuanza kuwashambulia polisi kwa bastola huku akitamba kila kona na kuonekana ni mzoefu.

Hii taarifa ya habari ya kituo cha Diallo ndio imenichanganya zaidi lakini hata Wasafi wamemuhoji huyo kijana na stori ni hiyo hiyo.

Kilichonishangaza ni taarifa ya dada mwingine aliyedai gaidi akitokea baharini na aliwasalimia kisha ndio akawaelekea polisi na kuanza kupiga risasi.

Anyway uchunguzi wa polisi utatupatia ukweli.

Hii pia si imepatikana kwa hisani ya shuhuda?

IMG_20210826_094001_471.jpg
 
Nadhani uchunguzi hapa uanzie hapo kwenye umiliki wa hiyo Pistol,uraia wake na maisha yake kabla ya tukio,maana mapicha tayari yako mitandaoni,hii inaonyesha kuwa ni mtu tuliekuwa tunaishi naye...
Una swali!?
JamiiForums683344064.jpg
 
Ugaidi hauna chama bwashee.

Haya mambo siyo ya kuyachekea ni hatari
Umeona sasa maana halisi ya ugaidi!! Siyo ule wa kusingizia na kuwadanganya watu wazima kama watoto!!

Gaidi hana muda wa kukata miti na kuipanga barabarani!! Gaidi mara zote ni show show tu!!!
 
Nimeangalia taarifa ya habari Star tv na kuona mwandishi wao akimuhoji kijana mmoja aliyeshuhudia tukio mwanzo mwisho.

Kijana anadai gaidi Hamza alishushwa na gari fulami ( sijasikia vizuri kama ni ST au IST) na kuanza kuwashambulia polisi kwa bastola huku akitamba kila kona na kuonekana ni mzoefu.

Hii taarifa ya habari ya kituo cha Diallo ndio imenichanganya zaidi lakini hata Wasafi wamemuhoji huyo kijana na stori ni hiyo hiyo.

Kilichonishangaza ni taarifa ya dada mwingine aliyedai gaidi akitokea baharini na aliwasalimia kisha ndio akawaelekea polisi na kuanza kupiga risasi.

Anyway uchunguzi wa polisi utatupatia ukweli.
Wewe ni kada mtiifu kwa hili sikuamini kabisa
 
Back
Top Bottom