Shuhuda: Gaidi alishuka kwenye gari akiwa na bastola na kuanza kuwapiga risasi polisi

Kati ya watu wanao nikwaza ni wanao leta siasa kwenye maswala kama haya.
Eti mara kada wenu hivi zinacharge kweli waona comment hivi.
 

Yote ni kwa hisani ya mashahidi hewa tunaotaka kuaminishwa walikuwapo eneo la tukio A - Z
 

unasubili kuambiwa ukweli na sirro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani uchunguzi hapa uanzie hapo kwenye umiliki wa hiyo Pistol,uraia wake na maisha yake kabla ya tukio,maana mapicha tayari yako mitandaoni,hii inaonyesha kuwa ni mtu tuliekuwa tunaishi naye...
Kuna uchnguzi uliowahi kutoa majibu ya tukio ?
 
Kati ya watu wanao nikwaza ni wanao leta siasa kwenye maswala kama haya.
Eti mara kada wenu hivi zinacharge kweli waona comment hivi.
unakwazika ukweli unaposemwa? ingekuwa ni mtu wa cdm na alikuwa mstari wa mbele kumpigia kampeni tundu lisu kama huyu aliyeteuliwa na ccm kuwa mpigadebe wa magu mkoa wa tabora bila shaka ungetaka hata chadema ifutwe.

acha ukinyonga. wanafiki kama wewe na ccm yenu ndiyo mmeifikisha nchi hapa ilipoanza kufika.
 
Wabongo kwa kupika stori wako vizuri sana kila mtu atasema lake wakat huu
 
Wadada sio wa kuwaamini...Sasa mtu anatokeaje baharini
 
Kwani polisi ndo wakweli? Hata vyombo vyenyewe vya habari vinaweza kupika habari..
 
Acheni kuingiza mambo ya siasa kwenye maswala ya watu kwahiyo kila anacho fanya mtu ni siasa.
 
Acheni kuingiza mambo ya siasa kwenye maswala ya watu kwahiyo kila anacho fanya mtu ni siasa.
kwanza siyo maswala ni masuala
Pili...inaonekana hujui geopolitics ya nchi hii kwa sasa. Siasa ndiyo imekuwa kila kitu. mwanasiasa wa ccm nchi hii anaweza akakuzushia jambo lolote la uongo kabisa na polisi wakakushughulikia.

Bi gwajima-waziri wa afya alitoa order gwajiboy akamatwe. IGP akagoma kwamba haoni jinai. Unadhani gwajiboy angekuwa bado ana mafungamano na chadema asingefuatwa au kutakiwa kureport central police?
 
Kuhusu suala la mimi kuandika Swala ni typing error bila shaka na wewe umeanza kwa kukosea umeandika oeder na baadae ndio umebadili Kuwa order.
Hivyo fikra kabla ya kutoa hukumu.
 
Tutaje " Kazi na Haki viendelee" nina imani tutakuwa salama zaidi. Tusipate kigugumizi katika hili.
 
Yaan yule dada fix sana khaaa ukimsikiliza tu unajua au kapangwa au kajipanga...we mwanamke mdogo kama vile na una mtoto mdogo umeona risasi utakaa kuangalia matukio yote kias kile kwel?
 
Sasa mkuu Kwa akili ya kawaida katikamazingira Yale ya risasi kuna MTU anaweza kushuhudia tukio mwanzo Hadi mwisho kweli? Ndo maana unasikia wengine wakisema aliishiwa rsasi akanyanyua mikono, Kisha akapiga magoti, akalala chini ndipo akapigwa risasi.
Ili Hali ukiangalia video mpka anapigwa risasi alikuwa anaendelea kufyatua risasi. Anaonekana kupigwa risasi baada ya kurushiwa Bomu la machozi akatoka kwenye kibanda cha walinzi na kumpiga risasi Askari aliyerusha Bomu.
Mtanzania muulize chochote ili mradi ameona kamera atakielezea Kwa kadili anavoweza hata kama hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…