Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Jamani mambo ya kupungukiwa hormones si kwa wanaume tu, hata kwa wanawake yapo sana tu, ni vile sie hatuna kitu kinachotakiwa kusimama sijui nini, ni vizuri kufanya check up ya hivi vitu kwa kweli.
 
Una Bahati Kuna dawa moja hukuitumia: kunywa Mkojo wako kila siku Asubuhi!
 
 
 
Kha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa!!
Sasa mbona nimeongea na MziziMkavu na kasema ya kwmb haujawahi kumpa habari yako kama ulivyosema? mudushi; Watu wana madawa wewe!
Sasa mbona hyo MziziMkavu amevunja duty of confidentiality to the client? wa kuinquire na wewe hapo jombaa, kweli ni Dr... au Mganga huyo, au Uganga hauna ethics nini?
 
Last edited by a moderator:
mudushi,

Kaka Mdushi tatizo langu linafanana sana na ulilokuwa nalo. Naomba unipatie majina ya hizo dawa za upungufu wa testosterone. Utakuwa msaada mkubwa kwangu. Naomba utumbe kwa sms kama hutojali. 0767151519. Asante.
 
Mtembo,

Nenda hospitali ukapime kwanza ili upate tiba.
Nimekutumia kontakts za daktari aliyenitibu. wasiliana naye.
kaka Mdushi tatizo langu linafanana sana na ulilokuwa nalo. Naomba unipatie majina ya hizo dawa za upungufu wa testosterone. Utakuwa msaada mkubwa kwangu. Naomba utumbe kwa sms kama hutojali. 0767151519. Asante.
 
Mtembo,

Nenda hospitali ukapime kwanza ili upate tiba.
Nimekutumia kontakts za daktari aliyenitibu. wasiliana naye.

Kaka mudushi naomba namimi pia unisaidie contacts za huyo Personal Dr wako,ninatatizo hilohilo pia
 


Umesahau Moja: PUNYETO KWA WANAUME linachangia sana kuua mishipa ya uume na huchangia jogoo kulala kakunja shingo kwapani.
 
Vijana wengi saana nimewasiliana nao na waliahidi kuleta mrejesho. sasa fanyeni ivo basi.
 
Jibu pekee ni mazoezi wakubwa, tunakaa kizembe sana mpaka damu inaganda, hebu changamsheni damu hizo muondoe aibu. Jitahidi kila siku ufanye zoezi (cardiac exercise)kufanya mzungumko wa damu uwe mkubwa na mishipa iweze kufikisha damu kwenye uume kwa wingi. Pia itasaidia kuupa joto mwili wako muda mrefu sio ukiguswa wabaridiii lazima captain agome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…