jiwe kubwa
Member
- Jul 8, 2014
- 7
- 0
Mkuu tupe direction plsMtembo,
Nenda hospitali ukapime kwanza ili upate tiba.
Nimekutumia kontakts za daktari aliyenitibu. wasiliana naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupe direction plsMtembo,
Nenda hospitali ukapime kwanza ili upate tiba.
Nimekutumia kontakts za daktari aliyenitibu. wasiliana naye.
Sokwe,
Vipi baada ya matibabu kuna chochote? Je na wewe ulisumbuka km mm? Kikombe cha Babu ulikunywa?
mudushi
Safi sana mkuu kwa ushuuda naomba nikazie mimi hua nasikitika sana watu wanavyopotoshana eti upunguvu wa nguvu za kiume ni ugonjwa; si kweli kwa lugha nyepesi tu hata kama hujaenda shule huo ni ukosefu wa vyakula vya kuleta nguvu vyakula hivyo ni vipi mababu zetu walikua hawana hili tatizo, kwa nini, kwa sababu walikua wanakula vitu vya asili na hasa vya mizizi sasa sisi unakula kila kitu from industries unategemea nini.
Nilikua siwezi udindisha hata k ikiwa mbele yangu baada ya kupata lishe sasa naenda hadi goli sita
natumia tangawizi na matunda mchanganyiko hizi take away kila baada ya siku mbili au moja kama lishe ya kawaida sasa mambo ni safi msikimbilie kula madawa tu
mkuu naomba uniambie hiyo tangawizi unaitumiaje? kwenye chai au? nahis uwezo wangu mdogo baada ya gol la kwanza nachelewa sana kurudia tendo!
saga na kisagio cha karoti au brenda au hata kwenye kinu kisha changanyana maji kidogo isipoteze rangi yake iwe na ukijani wa kutosha .kikombe cha rob au zaidi ni vizuri kisha kunywa
Mkuu
hilo ni janga kubwa especially for men of 35 yrs and above ila wengi hawawezi kuconfess ukweli wanabaki wanajitutumua mara konyagi mara mihogo mibichi basi tu ilimradi
kwa msaada wa wale wenye aibu ya kuku pm ungewaambia hizo testorene energizer ulizotumia zinaitwaje watu wanusuru ndoa