Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

sasa hiyo formula tuje inbox lengo lako ni nini biashara au unataka kupata idadi ya wapiga punyeto? kama una nia ya kutoa weka hadharani
Ningekua na nia ya pesa nisingesema bureeee na kujua wingi wa wapiga nyeto hapana ila ukweli hata nikasema inbox naweza weka formula ila wengine isiwasaidie kwasababu si matunda yote yanaponesha MTU akija inbox ataniambia VP yeye anahisi nijue formula gan nimpe naweza eka formula ikakusaidia we mwengine ikamzuru na siwez eka aina zote za formula cm yangu inasumbua touch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunakuhesabia siku tu wewe.. huwezi tusaliti kizembe
Kitu sirejei hiki kaka haijawai kukukuta unamtazama mwenzio kakumiss uume hausimami anakuangalia kwakukuangalia huruma na maneno mazur anakupa utapoa we unaona kama anakudharau anakukejel na akiondoka unapiga sim kila muda isipopokelewa unawaza ushaibiwa kaka acha huu mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu sirejei hiki kaka haijawai kukukuta unamtazama mwenzio kakumiss uume hausimami anakuangalia kwakukuangalia huruma na maneno mazur anakupa utapoa we unaona kama anakudharau anakukejel na akiondoka unapiga sim kila muda isipopokelewa unawaza ushaibiwa kaka acha huu mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app

kwenye package yako ungeongeza na mazoezi tu na mazaga .. ulikua hufanyi mazoez wewe
 
Ningekua na nia ya pesa nisingesema bureeee na kujua wingi wa wapiga nyeto hapana ila ukweli hata nikasema inbox naweza weka formula ila wengine isiwasaidie kwasababu si matunda yote yanaponesha MTU akija inbox ataniambia VP yeye anahisi nijue formula gan nimpe naweza eka formula ikakusaidia we mwengine ikamzuru na siwez eka aina zote za formula cm yangu inasumbua touch

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Uswahili weka kila kitu hapa uwasaidie chaputa wenzako wajikomboe. Huko inbox unataka wakufate ili iweje? Anayeona itamfaa ataifata
 
Ndugu zangu mm nimeamua kujitolea bure kwa ushuhuda nilionao katika vitu nine experience ni kwamba haya ni kama maradh mengine ya stim ama ya spital huwez kumpa ARV mgonjwa wa HIV aloathirika kwa hatua mbaya utamuua huwez kumpa Dawa muathirika was Dawa za kulevya huko soba aloathirika sana utamuua mm nawapenda ndugu zangu mm sijui we umeathirika VP wengine ndo kwanza hata hausinyai uume anawah tu kukojoa nikimpa formula kubwa atachoka jaman musinitukane nafanya hivi kama ahadi yangu nimefatilia haya matibabu binafsi kwasababu najuabsio wote wana pesa wengine wanauza izi formula mm niliambiwa laki 3 jaman msinitukane kwaio mm naiandika hio formula ili musinilaumu hadi SAA 2 itakua nishaieka asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom