Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Ningekua na nia ya pesa nisingesema bureeee na kujua wingi wa wapiga nyeto hapana ila ukweli hata nikasema inbox naweza weka formula ila wengine isiwasaidie kwasababu si matunda yote yanaponesha MTU akija inbox ataniambia VP yeye anahisi nijue formula gan nimpe naweza eka formula ikakusaidia we mwengine ikamzuru na siwez eka aina zote za formula cm yangu inasumbua touch.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasumbua!!!🤒🤒
 
Kuna vipimo gani unaweza fanyiwa kwa mtu anayeonekana kuwa na tatizo la nguvu za kiume? Je watu wanaosema wana upungufu wa nguvu za kiume wanapitia vipimo gani kubaini tatizo au ndio ishu ya kupiga bao wakiwa faraghani na wapenzi wao? Kitaarabu inahitaji mwanaume afanyiwe vipimo gani kujua kama ana tatizo hilo? Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi si daktar ila kiuhalisia kuna maradh huwez kujigundua mpaka ufanye vipimo ndio maana unapoanza kazi hufanyiwa medical checkup ila kwa haya huwez kua una paform vizur alaf ukaenda kupima haya utaenda hospital mpaka ujigundue mwenyewe kua husimamishi ama inasimama legelege ama husinyaa ukeni kuwah kukojoa na vengine hapo ndio utafanya hayo kama kuna vipimo ama tiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiisemee vibaya punyeto hujui siku wala SAA utakayorudi kundini.
 
Habar ndugu zangu shkamooni wakubwa kiukweli mm. Nilikua mmoja kati ya wanachama wa (CHAPUTA) nilishiriki tangia 2010 kipindi nipo form 4 na kueza kuacha rasmi mwezi wa 6 mwishon mwaka huu 2018

Kiukweli nilikua mtumwa kwa kipindi. Chote nilifika kipindi hata Mara 3 kwa siku nafanya nilikua memba wa porn sex zote na ukizingatia wanawake nilikua nao ila nilikua sina hata ham nao na nikimis sex ni lazima nianze puunyeto wakat dem yupo njian ata nikianza nao mm nakua natafuta bao LA pili na mechi wanaisoma

Niliendelea na huu mchezo hadi nilipoamua kusema nauacha hapo sijaona madhara yoyote zaid ya mwili kuchoma kuumwa kichwa mgongo ila hata hivo nilishindwa nikarudia kwasababu ugonjwa huu kwangu sikuweza kupisha nikikaa camp akipita mdada anavutia mm nyeto Instagram gigy kakaa uchi nyeto

Kiufup utumwa huu uliniathir mno nikaamua kuacha tena kwa Mara ya 2 hata week sijafika nikioga sitok nikill mafuta hata mate tu mm najirizisha

Sasa imefik kipindi nimeamua kua na mchumba adi nimeposa na nikaacha wanwake wote still nyeto sikuacha

Sasa hapo nikawa nishaanza kuona athari maana nikionana na mchumba wangu nafika kileleni sekunde tu na siwez simamisha tena na ikisimama ndan ya uke husinyaa aibu ilioje kwa Mara ya kwanza nikasingizia nimechoka Mara nyengine Yale Yale kwaio nikatunga uongo wa kudumu kua naumwa na manyama kwaio akaamini kwasababu magonjwa ya manyam yanajulikana kua misuli ikikaza huwez kusimamisha wachezaj mpira wanayajua hali hii ndo ikasababisha niache puunyeto kwakuogopa aibu na ukiZingatia naingia kwenye ndoa soon

Nikaamua kuacha huu ujinga nikaanza kutafuta Tiba mitandaoni maana ni ngumu kumhadisia MTU ndio nikaona post nyingi zinazohusu nguvu za kiume zinatoka humu jf nikaamua kujiunga na kusoma tiba ata ukiangalia lini nimejiunga utaona kama mwezi

Nilipata madoctor wengi wa maela mengi nikajarib kuongea nao ata punguzo ila ikawa ngumu basi nikaona nifate maelekezo ya baadhi ya page kula matunda mbogamboga na kufanya mazoez ya viungo bila kusahau mazoez ya kengel Yale yakubana mkojo

Huwez amin nikaanza kijiskia tofaut na nilistope sex kama week 3 nafanya mazoez na nilimueleza mchumba wangu kua nafanya mazoez ya manyama. So kaelewa nimeliza juzi baada yakujiona tofaut nikasema. Nisex

Aaaah mungu mkubwa sasa kazi imekua kubwa kwa mchumba haelew zaid ya kusema baby umepona

Saiv ni zaid ya mwanzo nasimamisha bila ya kuchoka uume umerefuka na una nguvu tele nachelewa kukojoa na nainjoy

Jamani puunyeto ni mbaya tuache wanaoendeleza na waloathirika njoo inbox nikupe formula ya matunda na mazoezi no bureeeee asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja nije inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom