Coutinho zenji
Member
- Aug 11, 2018
- 41
- 56
Unarejea na hujasoma kwa umakini niuze nn wakat imeandikwa buree soma utaelewa.Wewe umepitia ushauri na comments za wadau hapa hapa JF hadharani. Sasa wewe unataka ufatwe PM?
Ungemwaga hapa ingependeza zaidi kuliko huko unakowaitia wenzako.
Au unataka uwauzie?
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraDah kidogo nikashtue baada ya kusoma hii mada ila mazingira hayaruhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]tunakuhesabia siku tu wewe.. huwezi tusaliti kizembe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo nyinyi Dawa yoyote mnakula hata kama unaumwa tumbo unameza za kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Formula ishaekwa mana waswahili wnasema mm tapeli hawajui maana ya bure
Hahaah SNA arostoUtapata arosto soon...hongera kwa kuacha kujipiga selfie mkuu [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwez taja ni uzalilishaji ila nimestop nimeweka formula publicWamekuja wangapi PM?