Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Mimi kama katibu uenezi chaputa, namuunga mkono mtoa mada, aliyetusaliti.

Kiukweli nashauri mnaoamua kuwa wanachama wa huku, tafadhali tambueni huwezi kuwa double agent.
Kama upo huku, elewa kuwa hutaweza kuwa performer mzuri wa kwa bed.

Hivyo acha nitoe rai kuwa, upigaji punyeto ni hatari kwa heshima yako kitandani. Tafadhali 'jihudumie' kistaarabu.

- Imetolewa na Ofisi ya Mawasiliano, Chaputa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama formula ungeweka hapa kama ulivyokuwa muwazi baada ya ww kupona sidhani kama kuna siri kama unatoa huduma bure.
 
Coutinho zenji,

Kwanza hongera, pili Kama unahitaji kuwatoa wanachama wenzako kwenye chaputa ulitakiwa uandikie hapa hapa sio inbox!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…