Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Kuna kipindi fulani nilikua nakula vitunguu swaumu na asali kila siku asubuhi na jioni sema tumbo lilikua linavuruga vibaya mno mpaka nalala chini lakini matokeo yalionekana lakini mambo ya kumenya vitunguu yakanishindaga maana watu wanauliza aloo vitunguu vya nini? Unaumwa nini wewe enh?
[emoji3][emoji3][emoji3] waambie nina presha
 
Hongera Mzee Baba nakuongezea nondo. Asipokimbia na kuacha chupi sijui.

At least kwa wiki mara tatu, chukua maziwa blend na tende weka na asali kijiko kimoja. Tende ina vitamin nyingi sanaaa hasa potassium ambayo inaongeza stamina.

Na masaa machache kabla ya game blend kipande cha tikiti..mix na tangawizi mbichi ambayo umesha itwangwa huo mchanganyiko usiweke maji wala sikari, kunywa.

NB: Ninefanya haya mambo ndani ya wiki moja kabla sijakutana na mrembo, baada ya game amenisifia balaaaa.
 
Kwa kweli mtu anayekula vitunguu swaumu akae mbali na mimi maana naweza mzaba ngumi ya mdomo akadondoka huko.
Ili kuepuka harufu yake kinywani unaweza kuvimenya na kukatakata vipande vidogodogo unamezea maji kwa wingi. Bila shaka hutosikia harufu yake kabisa. Binafsi huwa nafanya hivyo.
 
Ratiba yangu ya msosi ni kama ifuatavyo:

Asubuhi maziwa +karanga/yai kienyeji la kuchemsha/ mchana/jioni wali/dona/njegere/maharage/maini/samaki/kisamvvu bila kusahau jioni lazima nishushie glass ya maziwa. Milo yote lazima nianze kwa kula asali kidogo ndo niendelea na mlo.

Note hapa sijaanza kufanya mazoezi Kwani mazoezi yana sehemu yake pia kwenye kujenga mwili. Sehemu ninayoendelea kuboresha ni kuweka tangawizi kwenye maziwa plus kula vitunguu saumu kwani vyote vinasaidia mzunguko wa damu.

Wewe ni unavyokula...badili namna yako ya kula uweze kupona au kuimarika uwezo wako wa kusimamia shoo...... Kitu madaktari wamejisahau kuwashahuri watu wengi ni namna bora ya kula ili kuwa na mzunguko mzuri wa damu.

Bila kusahau matumizi ya kila siku ya asali+kitunguu saumu+tangawizi+karanga+korosho yanaweza kukuponya/kupunguza athari za magonjwa kama sukari presha shinikizo la damu na mengine mengi. Matumizi ya wanga + na nyama kwa wingi ni hatari sana kwa afya yako.

Note. Mimi sio daktari ila maarifa yanatafutwa kwa kuamua kujifunza kutoma vyanzo tofauti.


Vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume
 
Mkuu maziwa ya Tanga Fresh au maziwa haya ya kawaida ya ng'ombe? Kwaio wale wanaouza ule mchanganyiko wao wa vitu vya lita moja kwa elfu 50,000 unawashauri vipi mkuu
Sitaki zungumzia biashara za watu mkuu. We fanyia kazi ujumbe.
 
Bado unajiboost, viagra ni viagra tu either iwe ni ya nyumbani au ya wamasai...kwaio bila tangawizi, garlic, asali sijui na maziwa huwezi kula show?

Ni kweli wewe ni ndivyo unavyokula...virutubisho unavyo vipata kwenye hizo boosters unaweza kuzipata sorce zingine.

Hupaswi kukamia, kuchagua au kutegemea aina fulani za milo...kula vyakula mbalimbali tena vya kawaida. Magnesium na zinc zinazopatikana kwenye hizo boosters pia zinapatikana kwenye vyakula vya kawaida.

Kama tatizo ni anxiety na depression, kuna njia za kukabiliana nazo na kama tatizo ni mzunguko wa damu zpo njia nyingi za kufanya ili kumaliza tatizo...

Matunda yana sukari pia na wanga ni sukari....usituambie umeacha wanga, tuambie umemodify wanga ili kuongeza na vitamin 'c'
umenifanya nimkumbuke Ally Bakari aliyedai kajirekebisha kwa kuacha kunywa gongo na kuanza kunywa konyagi...

kula vitunguu swaumu na tangawizi sini mateso?


Satan
Basi katafute madawa ya wafanyabishara watakusaidia mkuu. M nimeleta ushuhuda tu kwa ajili ya kuwasaidia wanaohitaji siyo wewe.
 
Mkuu, nadhani uzi wako kama vijana wengi wakiupitia na kuyafanya yote uliyoyaainisha hapo basi watabadiri mitazamo yao hasi ya kwenda kwa sangoma.
Kweli kabisa mkuu; unaweza kufikiri umelogwa na kutengezneza visingizio kibao kumbe wewe ni jinsi unavyokula
 
Back
Top Bottom