Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Vitunguu saum huwa nameza punje zake baada ya kumenya. Je niko sahihi?
 
Kuna mixer moja nimeiona kwenye mtandao dada mmoja anauza mixer ya tangawizi asali kitunguu saumu naifuatilia niteleta mrejesho ingawa vitu vya kuchanganyiwa vinakuwa na madhaifu mengi kuanzia usafi/ ubora na bei
Kuna mmoja nilishawahi muona yeye ana mashine ya kumenyea vitunguu swaumu ni portable alikua anauza 6,000 tatizo lake aliniambia nisubiri miezi mitatu atakapo agiza vingine tena.
 
Underceteris,

Umenena Madaktari Wa kibongo ni wachoyo saaana kushare ujuzi,sanasa akikusaidi nikukuandika dawa tu. Magonjwa kalibia yoote yanatibiwa na chakula au kubadilisha mfumo wa maisha.
 
Kuna mmoja nilishawahi muona yeye ana mashine ya kumenyea vitunguu swaumu ni portable alikua anauza 6,000 tatizo lake aliniambia nisubiri miezi mitatu atakapo agiza vingine tena.
Vitunguu vya kumenya na mashine si vya biashara mkuu😀😀😀
 
Umenena Madaktari Wa kibongo ni wachoyo saaana kushare ujuzi,sanasa akikusaidi nikukuandika dawa tu.Magonjwa kalibia yoote yanatibiwa Na chakura au kubadilisha mfumo Wa maisha.
Tatizo sio madaktari. Biashara ya madawa ni biashara kubwa sana duniani ndio maana vitu kama hivi huwezi kuvipata kirahisi mpaka uwe unafikiri nje ya box ww ulishawahi kujiuliza hayo madawa yanatengenezwa na nn kama sio hivi hivi vitu ninavyowaambia fuatilia ingredients za madawa mengi kama hamna kitunguu saumu ni tangawizi.
 
Trust me natumia tu mbegu za mboga zinanifanya niwe full 5G muda wote
Labda ungetuambia kazi ya mbegu za majani ya maboga ili kupata maarifa zaidi ila kama unaweza kupata tikiti/tango/ndizi kitunguu saumu/tangawizi asali usiache kutumia mkuu ni kwa faida yako
 
Kuna mixer moja nimeiona kwenye mtandao dada mmoja anauza mixer ya tangawizi asali kitunguu saumu naifuatilia niteleta mrejesho ingawa vitu vya kuchanganyiwa vinakuwa na madhaifu mengi kuanzia usafi/ ubora na bei
Mkuu bado nasubir mrejesho huo mchanganyiko ukoje
 
Bado unajiboost, viagra ni viagra tu either iwe ni ya nyumbani au ya wamasai, kwaio bila tangawizi, garlic, asali sijui na maziwa huwezi kula show?

Ni kweli wewe ni ndivyo unavyokula. Virutubisho unavyo vipata kwenye hizo boosters unaweza kuzipata sorce zingine.

Hupaswi kukamia, kuchagua au kutegemea aina fulani za milo...kula vyakula mbalimbali tena vya kawaida. Magnesium na zinc zinazopatikana kwenye hizo boosters pia zinapatikana kwenye vyakula vya kawaida.

Kama tatizo ni anxiety na depression, kuna njia za kukabiliana nazo na kama tatizo ni mzunguko wa damu zpo njia nyingi za kufanya ili kumaliza tatizo.

Matunda yana sukari pia na wanga ni sukari, usituambie umeacha wanga, tuambie umemodify wanga ili kuongeza na vitamin 'c'
umenifanya nimkumbuke Ally Bakari aliyedai kajirekebisha kwa kuacha kunywa gongo na kuanza kunywa konyagi.

Kula vitunguu swaumu na tangawizi sini mateso?


Satan
 
Nimekuwa fiti kwelikweli hadi najiuliza nilichelewa wapi kujua siri hizi ambazo watu wanahangaika na madawa ya ajabu ajabu
Mkuu, nadhani uzi wako kama vijana wengi wakiupitia na kuyafanya yote uliyoyaainisha hapo basi watabadiri mitazamo yao hasi ya kwenda kwa sangoma.
 
Back
Top Bottom