Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,175
- 1,934
We jamaa umenivunja mbavu[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwa kweli mtu anayekula vitunguu swaumu akae mbali na mimi maana naweza mzaba ngumi ya mdomo akadondoka huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa umenivunja mbavu[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwa kweli mtu anayekula vitunguu swaumu akae mbali na mimi maana naweza mzaba ngumi ya mdomo akadondoka huko.
Yaani mwanamke wako a suck ur dick ushindwe kusimamisha kisa mazoea be careful mkuu...usitafute sababu za madokta wa kibongo ndo yale yale ya punyeto inaharibu nguvu zako while pinyeto its like sex mtu akiamua kuifanya effectively(sipromote punyeto na sio member kwa sasa) lengo ni kusema sababu kubwa ya tatizo na dawa yake....watu wengi mishipa yao ya damu imebana....kitu ambach0 kinahitaji kutibiwa ila mkienda hosp mtaambiwa ni msongo/stressNguvu za kiume kwa waliooa ni tatizo sababu ya mazoea na mke lakini akienda kwenye game za mchangani anaweza kupiga hata 5
Mwanaume ambaye huutaki urijali ni shoga mkuu. Sorry kwa lugha kaliIla wengine jinsi vyuma vilivyokaza na magonjwa ya zinaa lukuki twaona hili siyo lazima kwetu, kila la heri na nguvu na nguvu zako za kiume..
Karibu mkuuSomo zuri
Kuamini ni hatua moja ila unachokula ndio kinabadili hali yako natural maana mwanzo niliamua kula bila kuamini maana sikuwa na matumaini yoyote ila nilipoona matokeo ndo nikaanza kufanya ndo mlo wangu dailyWe hujanielewa,hata wewe mwanzo ulianza kwa kuamini kuwa una tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume na ukifanya tiba uliyotumia utapona,ugonjwa na tiba yake uko kwenye akili ya mtu husika,tiba imekua na matokeo makubwa baada ya wewe kuamini sasa nikitumia hivi vitu ntapona.Hongera mkuu kwa kutatua tatizo
Welcome mkuuhecko
Haya wewe ni unavyokulaNgoja niweke seat kesho niusome
Nguvu za kiume kwa waliooa ni tatizo sababu ya mazoea na mke lakini akienda kwenye game za mchangani anaweza kupiga hata 5
Nitakuwa mtu wa standard na kujiheshimu mkuuChunga usijikusanyie magonjwa ya zinaa mji mzima
Siwezi kusema specifically kiasi gani ila chupa moja ya lita moja nakaa nayo wiki hadi wiki mbili mimi huwa nakunywa kama pafu moja kila asubuhi mchana na jioniIyo asali kiasi gani ?.wahanga tuko wengi
OKSiwezi kusema specifically kiasi gani ila chupa moja ya lita moja nakaa nayo wiki hadi wiki mbili mimi huwa nakunywa kama pafu moja kila asubuhi mchana na jioni
Hongera mkuu....ila ukweli ni kwamba kula kuna saidia utendAji kazi wakoIt's just a mind set
Mimi naweza nisile kutwa nzima lakini napiga mzigo wa kutosha kama kawaida.
CorrectMtu yoyote ambaye damu inazunguka vizuri mwilini mwaka hawezi kusumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume hata kama hajiamini/ hana imani...tatizo likikutokea ndo unapoteza ujasiri hata hamu ya kukutana na mwanamke una kosa