Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Tusaidiane mkuu nami niwakimoja APA nilipo Nina asali ya nyuki wadogo ndani.
Umeaoa?
Mkuu una umri gan?
Kiukweli sijawahi tumia asali ya nyuki wadogo, ila cha msingi badilisha ratiba yako ya kula ili kupata matokeo unayoyataka. Asali kabla hujala chochote asubuhi, mchana na jioni kabla ya kulala, usisahau package ya matunda na tikiti maji kama unaweza kupata tangawizi na kitunguu saumu tumia.

Acha kabisa matumizi ya nyama ya ngombe/mbezi nk
Tumia maini/mayai/karanga/korosho/maziwa/maindi kuchoma/ Dona/wali/njegere/maharage
Usikubali kujilimbikizia wanga kwenye mwili wako mkuu kama unaweza kuepuka epuka

Ndani ya mwezi let'a mrejesho mkuu
 
Kiukweli sijawahi tumia asali ya nyuki wadogo, ila cha msingi badilisha ratiba yako ya kula ili kupata matokeo unayoyataka. Asali kabla hujala chochote asubuhi. Mchana na jioni kabla ya kulala, usisahau package ya matunda na tikiti maji kama unaweza kupata tangawizi na kitunguu saumu tumia.

Acha kabisa matumizi ya nyama ya ngombe/mbezi nk
Tumia maini/mayai/karanga/korosho/maziwa/maindi kuchoma/ Dona/wali/njegere/maharage
Usikubali kujilimbikizia wanga kwenye mwili wako mkuu kama unaweza kuepuka epuka

Ndani ya mwezi let'a mrejesho mkuu
Matokeo ni ndani ya wiki mbili
 
Mimi ndo nachoka kukaa kifuani hadi namisi kipindi napga kimoko cha fasta chali.sasa nakomaa mijasho hiyo na bado ninauwezo wa kuendeleA ..nilikuwa napga kimja siku hizi hadi vitatu npga na bado niko fit kuendelea
Umri wako tafadhali, tone yako inaonesha huna mke wewe!
 
Mimi niliponda hili tatzo kwa kukimbia tu nilijiona fala siku nimemtoa dem bikira halaf nikapiga vitano lakin ilikua ni dk nne tu lakin baada ya kuanza kupiga zoezi juz nimeenda kusimamia kucha mtoto kanambia kua hivi baby ukifanya mazoezi unaongezeka ety
 
Back
Top Bottom