Kingsmen
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 279
- 213
Vipi A Town wanapiga shoo za kibabe au wanasumbuka kama mleta mada. Ufafanuzi kidogo mkuuSafi kabisa
Wanangu wa A town inakuaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi A Town wanapiga shoo za kibabe au wanasumbuka kama mleta mada. Ufafanuzi kidogo mkuuSafi kabisa
Wanangu wa A town inakuaje??
Dahh acha tu mkuu, kama hiyo ya 3 ilikua na binti tu jirani alileta mazoea nikasema isiwe tabu ngoja nipite nae aisee.. Niliaibika sana yan hapo nikasema silazi dam nikamfuata huyo mzee akacheka sana ndo akanipaga hiyo kitu aisee namshukuru kwa kwel[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mbaya zaid game ya nyumban
Tena na jiran[emoji16][emoji16] hii mbaya sana
stidy
Kitaan hakupitik maana hawakawiiDahh acha tu mkuu, kama hiyo ya 3 ilikua na binti tu jirani alileta mazoea nikasema isiwe tabu ngoja nipite nae aisee.. Niliaibika sana yan hapo nikasema silazi dam nikamfuata huyo mzee akacheka sana ndo akanipaga hiyo kitu aisee namshukuru kwa kwel
Nilisharekebishaga makosa sikunyingi tu kaka.. Ila ilichukukua muda kidogo kuniaminiKitaan hakupitik maana hawakawii
Kupeana umbea vibarazan[emoji3][emoji3][emoji3]
stidy
Hakukupa second game mkuuNilisharekebishaga makosa sikunyingi tu kaka.. Ila ilichukukua muda kidogo kuniamini
Alinipatia baada ya kumbembeleza kwa muda kidogo maana imani ilikua ishamtoka😹Hakukupa second game mkuu
Ukamuaminisha kwa vitendo
stidy
[emoji1][emoji1][emoji1]Kwa kweli mtu anayekula vitunguu swaumu akae mbali na mimi maana naweza mzaba ngumi ya mdomo akadondoka huko.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alikuaAlinipatia baada ya kumbembeleza kwa muda kidogo maana imani ilikua ishamtoka[emoji81]
Hapana kwa kweli jina hakunambia yeye kanambia tu ni mavumba kachanganye kwenye uji kunywa..
Eleza kidogo, usaidike unamanisha mshale haupiki sekunde kabisa , uko week au hauna ashq kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukunza normal life style yako, kula vizuri epuka vyakula vyenye mafuta mengi, maji ya kutosha pia pata mda mzuri wa kupumzikaNikikaribia tuu inalala sasa sijui shida nn[emoji56]
Nimesoma weeee natafuta ilikuwaje kwa mkeo nimekosa....ngoja nilale