Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Hongera sana man kwa kushea tiba hii ya asili, na isiyi na garama , maana hizi tiba za uume zinakuwaga bei ya gali sana,
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mbaya zaid game ya nyumban
Tena na jiran[emoji16][emoji16] hii mbaya sana

stidy
Dahh acha tu mkuu, kama hiyo ya 3 ilikua na binti tu jirani alileta mazoea nikasema isiwe tabu ngoja nipite nae aisee.. Niliaibika sana yan hapo nikasema silazi dam nikamfuata huyo mzee akacheka sana ndo akanipaga hiyo kitu aisee namshukuru kwa kwel
 
Mwalim19,
Kabisa mkuu wangu, ndio nimeona matunda maana uume now days unasimama nyuzi tisini (unasimama ukiwa unaangalia juu) na Show nakamua ile haswaa
 
Dahh acha tu mkuu, kama hiyo ya 3 ilikua na binti tu jirani alileta mazoea nikasema isiwe tabu ngoja nipite nae aisee.. Niliaibika sana yan hapo nikasema silazi dam nikamfuata huyo mzee akacheka sana ndo akanipaga hiyo kitu aisee namshukuru kwa kwel
Kitaan hakupitik maana hawakawii
Kupeana umbea vibarazan[emoji3][emoji3][emoji3]

stidy
 
Alinipatia baada ya kumbembeleza kwa muda kidogo maana imani ilikua ishamtoka[emoji81]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alikua
Anaogopa kupewa tena shombo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

stidy
 
Naomba ushauri ni kijana wa miaka 34 imetokea mke wangu kuwa mjamzito na baadae kujifungua
Sasa katika kipindi cha ujauzito hakuwa vizuri na ilipelekea kutokuwa na utulivu chumbani

Na baada ya kujifungua miezi imepita na nguvu za kufanya tendo limepotea

Naomba ushauri na tiba pia Shukran wanajamvi
 
Back
Top Bottom