chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,773
- 3,529
Hakika mimi ni mmoja ya wanaoshuhudia kwamba mazoezi na kujidhibiti kwenye chakula kunasaidia sana kupunguza uzito.
Mimi nimefanikiwa kupunguza uzito kutoka 92kg mpaka 71kg kwa kukimbia na kujizuia na ulaji wa hovyo.
Jitihada za kupunguza uzito wa mwili zimenifanya kuwa mpenda mazoezi na sasa mazoezi ni sehemu ya maisha yangu.
Cha muhimu kwa wadau ni kwamba vyote mazoezi na kujidhibiti na ulaji wa hovyo vinahitaji nidhamu ya hali ya juu na kujitoa sana lakini ni jambo linalowezekana ukiamua.
Mimi nimefanikiwa kupunguza uzito kutoka 92kg mpaka 71kg kwa kukimbia na kujizuia na ulaji wa hovyo.
Jitihada za kupunguza uzito wa mwili zimenifanya kuwa mpenda mazoezi na sasa mazoezi ni sehemu ya maisha yangu.
Cha muhimu kwa wadau ni kwamba vyote mazoezi na kujidhibiti na ulaji wa hovyo vinahitaji nidhamu ya hali ya juu na kujitoa sana lakini ni jambo linalowezekana ukiamua.