Shuhuda za waliofanikiwa kupunguza uzito kwa mazoezi na lishe

Shuhuda za waliofanikiwa kupunguza uzito kwa mazoezi na lishe

Mkuu umenipa hamasa...naanza ss na Mimi,,,hapa nilipo Niko na 95 kgs,...ila ukiniangalia sio bonge kiivyo,,,na pia ni mwepesi sana,,,mazoezi nafanya sana ila sins ratiba wala muda maalum,,,mazoez nayopenda ni kunyanyua vyuma,kichura,squart na kukimbia kidogo ila ss baada ya zoezi huo msosi ninaogonga+nyama Choma na TBL kidogo ni balaa,
Nilikuwa na kilo 98 bonge la kitambi,Bonge la paja,bonge la mkono,...watu mtaani wakaanza kuniita bonge...hamna kitu kiliniuma kama kuitwa bonge...nkaanza mazoez nkashindwa mwlili mzito viungo vinauma...jaribu diet nikashindwa njaa inauma mpaka kizunguzungu nkakata tamaa....mda ukapita ...watu wanazid kuniita bonge...nkaenda gym nkaambiwe nilipie elfu 80 kwa mwezi...nkaenda benk kuchukua pesa...huwez hamini niliiangalia ile pesa mkononi nkasema yaani naenda kutoa elfu 80 gym wakati viwanja viko bure tuu!?[emoji848]...nkazama mtumbani nkanunu raba rut ikaanza...Kimbia sana mwez mzima nkapungua kilo 3...nkasema ahaaa kumbe inawezekana nkapata na elimu ya lishe....ratiba ikawa hivi
....Nikapunguza vyakula vya wanga yaani ugari nilikuwa nakula saizi ya ngumi yangu...mboga za majani kwa wingi sna yaana
.....Nilikuwa nakula pale nnapojisikia njaaa(watu weng tumezoea kula mara tatu kwa siku lakini chakula tunachokula ni kingi so kinakutana tumbon) Ki afya unaruhusiwa kula hata mara sita kwa siku lakini kidogo kidogo(unapojisikia njaa$
.....Nikaacha kabisa soda na nyama nyekundu(baadae sana nkaanza kutumia maana ukiwa kwenye mazoez ya kupunguza mwil kuna kitu kinaitwa 'cheating day'
......Ratiba yangu ya mazoez ilikuwa kila sku asubuhi saa kumi na moja nkiamka kufanya ibada naamkia kiwanjani ...kukimbia,kuruka kamba,na mazoez ya viungo(Asikuambie mtu zoez la kukimbia ndo zoez bora la kupunguza uzito
....Jioni nkirud kazini naingia tena kiwanjani
....Nkawa fiti kuna kipind nkawa na uwezo wa kukimbia mpaka round 30 za kiwanja....nkisem nkimbie road work nnawez kimbia mpaka km 20,15
...Nikapungua kilo pamoja na uzito nkawa na mwili mdogo na wa kawaida....nikawa na enjoy maisha
...Kutokana na hari ya kuwa na pumzi ya kutosha nakanza kucheza football
Sasa mpira wetu wa uswahilini upati mda wa kujiandaa unatoka nyumbani kiwanjani....sipati mda mwing wa kufanya mazoez sana(nacheza beki ya kati)...ka mwili kamerud kidooogo sema ka kawaida sio mnene[emoji2]
...MUHIMU...ukiitaka kupunguza uzito
...Punguza ulaji wa sukar na wanga
....kula sana mboga za majani kunywa sna maji
.....fanya mazoez
Ukipungua kwa kufanya mazoez na kufuata lishe unakuwa phyisical...ukifanya tu diet unapingua kama mgonjwa mgonjwa hivi...haui physical yaani[emoji23]...so fanya yote
Ukishachanganya mazoez chagua siku ambayo utaaita 'cheatind day' hii siku usifanye diet wala usifanye mazoez yaan kula tu junk...masoda kula chips kula,nyama hata kilo we kula(japo unywe maji meng).....huo ndo ushuhuda wangu wakuu...na kipind unajizuia kula vitu vya sukari utakuta mwili unatamani kula vitu vya sukari...tumia Tende zitakupunguzia tamaa ya kula sukari
....vitu vingine namna ya kunywa maji...kunywa maji nusu saa kabla ya kula na nusu saa baada ya kula....nini faida yake?....kunya maji kabla ya kula kutakufanya upunguze hamu ya kula...hivo hutokula chakula kingi....kinywa baada ya kula kutakusaidia digestion ifanyike kwa urahisi...tumezoea kunywa maji tukimaliza tu kula hii ni mbaya maana inaifanya utumbo kuwa mtepemtepe hivo kupunguz digestion
....kula matunda kwanz alafu chakula na sio chakula alafu matunda


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KULA PALE TU UNAPOSIKIA NJAA,
NA UKILA GAWA TUMBO SEHEMU TATU,
1/3 CHAKULA,
1/3 MAJI
1/3 HEWA
UNENA UTAUONA KWA WENGINE TU!!!!
Yes mkuu.

Watu wanakula mpaka wanahisi tumboni kuna kitu.

Kula ukiskia njaa na ukila hakikisha tumbo halihisi kama umebeba kitu,yani kula kwa starehe sio unakula kama jioni huli tena.utaenjoy.

Lakini mtu anakula anakuambia aaah nimeshiba kweli kweli hii mbaya na

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nanenepa kila siku, najichukia ila nashindwa kufanya maamuzi..
Mimi mostly nipo nyumban, sasa stress za maisha zinafanya nakua na ham ya kula ovyoovyo, cjui nifanye nini kucontrol hii hali ya ulaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes mkuu.

Watu wanakula mpaka wanahisi tumboni kuna kitu.

Kula ukiskia njaa na ukila hakikisha tumbo halihisi kama umebeba kitu,yani kula kwa starehe sio unakula kama jioni huli tena.utaenjoy.

Lakini mtu anakula anakuambia aaah nimeshiba kweli kweli hii mbaya na

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa mchango wako
 
Mkuu umenipa hamasa...naanza ss na Mimi,,,hapa nilipo Niko na 95 kgs,...ila ukiniangalia sio bonge kiivyo,,,na pia ni mwepesi sana,,,mazoezi nafanya sana ila sins ratiba wala muda maalum,,,mazoez nayopenda ni kunyanyua vyuma,kichura,squart na kukimbia kidogo ila ss baada ya zoezi huo msosi ninaogonga+nyama Choma na TBL kidogo ni balaa,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nyama choma na TBL hutapungua best
 
Hongera keep it up
Nimepima last week naitafuta 85 naumia lakini ratiba yangu nayo haina muda wa kutulia!!..
Mwenye kujua kupungua bila zoezi msaada tafadhali!!.. Huo ugoigoi poa tu
 
Mimi nanenepa kila siku, najichukia ila nashindwa kufanya maamuzi..
Mimi mostly nipo nyumban, sasa stress za maisha zinafanya nakua na ham ya kula ovyoovyo, cjui nifanye nini kucontrol hii hali ya ulaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta hata kujenga uwe saidia mkuu.jichanganye mtaani hsta ksms umegraduate.
Huko utapata chanel nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepima last week naitafuta 85 naumia lakini ratiba yangu nayo haina muda wa kutulia!!..
Mwenye kujua kupungua bila zoezi msaada tafadhali!!.. Huo ugoigoi poa tu
Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.


Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.


NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.


Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.


NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kg 15 kwa mwezi?
 
Na maji pia unaacha kunywa ukitaka kupungua?
Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.


Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.


NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka ule hivyo /kuna wengine ndo wanapenda hivyo basi ale matunda mana matunda hata uyale vipi muda mfupi tu tumbo litakuwa jepes
Yes mkuu.

Watu wanakula mpaka wanahisi tumboni kuna kitu.

Kula ukiskia njaa na ukila hakikisha tumbo halihisi kama umebeba kitu,yani kula kwa starehe sio unakula kama jioni huli tena.utaenjoy.

Lakini mtu anakula anakuambia aaah nimeshiba kweli kweli hii mbaya na

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.


Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.


NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usisubiri ramadhani Anza leo ... Usiku chakula chako kisiwe na wanga na sukari kwa sana... Funga mwezi mzima halafu ulete mrejesho hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom