Shuhuda za waliofanikiwa kupunguza uzito kwa mazoezi na lishe

Shuhuda za waliofanikiwa kupunguza uzito kwa mazoezi na lishe

Mbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokua wakati wa kufungua chai ya maziwa usitie sukari , fried meat sawa kabisa achana na chapati za ngano tumia za almond ama mbegu za maboga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mkuu mimi kila mwezi wa Ramadhani naongezeka tu wakati Daku sijawahi kula hata siku moja tatizo ni nini? mlo wangu chai ya maziwa na chapati za kusigina + fried meat kufturu tena kesho yake Ila mazoezi labda nianze labda ndontapungua Ramadhani hi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia unachokula.na angalia unavyojaza mtumbo ndindindi.

Hakikisha tumbo halijai kula soft tu.

Ukila soft kula na daku soft tu haina haja ya kuninyima kwani hiyo njia hautadumu nayo lazima utarudi kwenye system yako ya kawaida tu.

Solution ni kula kawaida tu usijaze tumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safuher, Mkuu mimi sio mtu wa msosi nakula kiasi ila nakula nachopendelea sana breakfast chapati mbili lost nyama au maini na chai ya maziwa sili tena paka usiku.....some time chapati moja tu ila uzito wangu haupendezi, miezi ya Ramadhani na funga na sitati( 6) pamoja ila wapi nikipaki gari town na tembea kwa mguu, average ya 3km kila siku ya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepima last week naitafuta 85 naumia lakini ratiba yangu nayo haina muda wa kutulia!!..
Mwenye kujua kupungua bila zoezi msaada tafadhali!!.. Huo ugoigoi poa tu
Kumbungua bila zoezi.... kwekwe kwe kwe hautaweza utakuwa unapigwa na njaa ya kufa mtu nishaona watu wa namna hii ofisini hawataki zoezi wanashinda na njaa wote waliishia njiani, waliweza mwz 2 na nusu kweli walipungua, kilichofuata Mungu anajua walikuwa wanakula balaaa

Anza zoez taratibu hata kukupiga push up 20 kwa siku na kunywa maji ambayo haiitaji mnada wa ziada, mwanzoni lazima cha moto ukione mwili unavo uma ila taratibu mwili unazoea utaongeza zaidi ha hapo
Mimi toka mwz 12 hadi sasa nimepungua sana walikuwa wananiniita bonge kitambi kilikuwa kinaanza kuchomoza nila sasa 6 pack naziona sinatumbo hata kidg na zoez napiga kila siku no excuse cos nimeamua kubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabadiliko yanaanza na wewe. Mimi nimeweza kubaki na kg 72 kwa muda zaidi ya miaka 15. Siri kubwa ni mazoezi na kutokula hovyo. Mimi sio mlaji naweza hata kusahau kula.

Nikiongezeka sana 74kg, nikipungua sana 70kg. Kikawaida nakuwa na 72kg
Hakika. Mimi nimeweza kudumu kwenye kg 60 kwa muda mrefu sana. Nakula pale ambapo nasikia njaa sio vingenevyo. Siku inaweza ikapita nikala mara moja kama sitasikia njaa siku imeisha. Zikipungua 58 zikizidi 62
 
Uzito wangu unacheza ndani ya 50 - 55 miaka zaidi ya 5 sasa... Niliwahi kuvuka 56 mara moja.. ni namna gani naweza kuongeza uzito wangu angalau ufikie 60kg urefu 163cm
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinywa maji mengi mkuu.

Alafu angalia menyu yako.

Wewe mwili wako una low metabolism.
Mkuu mimi sio mtu wa msosi nakula kiasi ila nakula nachopendelea sana breakfast chapati mbili lost nyama au maini na chai ya maziwa sili tena paka usiku.....some time chapati moja tu ila uzito wangu haupendezi, miezi ya Ramadhani na funga na sitati( 6) pamoja ila wapi nikipaki gari town na tembea kwa mguu, average ya 3km kila siku ya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi sio mtu wa msosi nakula kiasi ila nakula nachopendelea sana breakfast chapati mbili lost nyama au maini na chai ya maziwa sili tena paka usiku.....some time chapati moja tu ila uzito wangu haupendezi, miezi ya Ramadhani na funga na sitati( 6) pamoja ila wapi nikipaki gari town na tembea kwa mguu, average ya 3km kila siku ya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Badilisha breakfast hiyo. Inawezekana hiko ulichokula kina contain calories nyingi kuliko unazoweza kuunguza kwa siku hata kama unatembea kg3 kwa wastani kwa siku. Unywe maji ya kutosha chakula cha jioni kisiwe heavy na ule angalau mwisho saa moja jioni sio zaidi ya hapo.
 
Kumbungua bila zoezi.... kwekwe kwe kwe hautaweza utakuwa unapigwa na njaa ya kufa mtu nishaona watu wa namna hii ofisini hawataki zoezi wanashinda na njaa wote waliishia njiani, waliweza mwz 2 na nusu kweli walipungua, kilichofuata Mungu anajua walikuwa wanakula balaaa

Anza zoez taratibu hata kukupiga push up 20 kwa siku na kunywa maji ambayo haiitaji mnada wa ziada, mwanzoni lazima cha moto ukione mwili unavo uma ila taratibu mwili unazoea utaongeza zaidi ha hapo
Mimi toka mwz 12 hadi sasa nimepungua sana walikuwa wananiniita bonge kitambi kilikuwa kinaanza kuchomoza nila sasa 6 pack naziona sinatumbo hata kidg na zoez napiga kila siku no excuse cos nimeamua kubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah inabidi kujinyima kweli, nimekaa sana na njaa nimetumia sana madry gin walinambia yanakausha damu automatic kupungua ila wapi!..
 
Kula Mara moja kwa siku ndani ya mwezi mmoja , Kama umefunga mwezi wa ramadhani usipopungua uje humu kunitukana.


Ninaposema kula Mara moja namaanisha Mara moja kweli ... Unakula usiku tu mpaka usiku Tena wa siku inayofuata. Kuna kipindi nilifanya hivyo mwezi wa ramadhani nilikata kilo 15 ndani ya mwezi. Wiki ya kwanza unaweza kupepesuka kwa kiu ya maji ila ukizoea hutaamani kuacha.


NB: Hakuna njia ya kuumpunguza uzito isoyoumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo mchana wote natumia maji tu au haata maji NO!..
 
Back
Top Bottom