Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Zile niaje niaje😂Nipunguze nini tena!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile niaje niaje😂Nipunguze nini tena!?
Fegi na ganja au?Zile niaje niaje😂
Tumbo la chini kulitoa linahitaji uvumilivu mno....Yan kwa hizo kilo zako na height tumbo la chini hukupaswa kuwa nalo..
Fanya mazoezi ya tumbo kwa muda mrefu takribani mwezi mzima hvi..asubuhi na jioni kila siku..
Kazania hayo mazoezi kwa muda mrefu kama ukiweza kimbia ama ruka kamba kwa uchache ili usipungue kilo sana,Lengo liwe tu kutoa tumbo la chini...
Pale utakapoona maumivu endelea usiache mazoezi ya tumbo japo ukweli yanahitaji uvumilivu..
Usile sana vyakula vya mafuta kila siku...kula tu mara moja moja inapobidi...
Thank me later!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fegi na ganja au?
Hizo siachi maana ndio zinanipa company nikiwa na feel low, tokea umenitosa sijapata mwingine.K vant zile umezisahau e?
Asa huoni zinakuletea kitambi?Hizo siachi maana ndio zinanipa company nikiwa na feel low, tokea umenitosa sijapata mwingine.
Hapana kitambi hamna huwa nafanya mazoezi mara kwa mara japo sio daily.Asa huoni zinakuletea kitambi?
Mabadiliko yanaanza na wewe. Mimi nimeweza kubaki na kg 72 kwa muda zaidi ya miaka 15. Siri kubwa ni mazoezi na kutokula hovyo. Mimi sio mlaji naweza hata kusahau kula.
Nikiongezeka sana 74kg, nikipungua sana 70kg. Kikawaida nakuwa na 72kg
Hizo ni nzuri ongeza na Crunches....zote hizo huondoa Fat belly...mazoezi ya tumbo yapo so Common..asante sana kwa ushauri, unaweza kunisaidia hayo mazoezi ya tumbo au ni zile sit ups tu zinatosha
Mixer yale mazoezi ya 6×6Hapana kitambi hamna huwa nafanya mazoezi mara kwa mara japo sio daily.
Hayo mara moja moja kwa mwaka sio mbaya.Mixer yale mazoezi ya 6×6
5'6
Basi upo Vizuri .....Hongera ulijitahidi sana aisee....5'6
Nilipata kilo za uzazi baada ya kujifungua nilikua na kama kilo 80.