Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu....Hana utoto ni mtu mzima ana biashara zake na huwa tuna badilishana pia mawazo ktk maswala ya kilimo,... Recently hakuwa na smartphone nahis ni moja kati vitu vinavyo mfanya asitumie JF ....
Sijakutaja vizuri badoMpaka hapa si umeshanitaja 😅
Hizo sheria zitasaidia nini? Just imagine fala mmoja anakuanika then anakula ban ya maisha. Kesho kutwa anakuja na ID mpya kuaendeleza utopolo wake nini kitakuwa kimesolviwa hapo!!Tena sheria iwe kali.mambo gani yakuja kuanikana huku sasa
.....................[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤯🤯🤯🤯Hizo sheria zitasaidia nini? Just imagine fala mmoja anakuanika then anakula ban ya maisha. Kesho kutwa anakuja na ID mpya kuaendeleza utopolo wake nini kitakuwa kimesolviwa hapo!!
Cha muhimu ni wewe mwenyewe kuangalia aina ya watu/ID unazo hang out nazo
😀😀😀 Mimi sijui labda ww unajua ? au ww umekariri biashara za mitandao ?Samahani mkuu....
Hivi mtu mwenye biashara zake, anaweza akakosa sim janja kweli...[emoji849][emoji849]
Ahhh, nimeuliza tu
Kwa hiyo hadi huko walikokutana alitumia utambulisho feki?Unamjuaje kuwa ni mdada Wa sifa hizo ilhali anatumia utambulisho usio halisi , fake id ?
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu, ebu acha kuua ndoto za watu...[emoji23][emoji23]
Ndugu yetu huyo uliye mreply ana mawazo mgando kuhusu SNs...Kwa hiyo hadi huko walikokutana alitumia utambulisho feki?
Hizo sheria zitasaidia nini? Just imagine fala mmoja anakuanika then anakula ban ya maisha. Kesho kutwa anakuja na ID mpya kuaendeleza utopolo wake nini kitakuwa kimesolviwa hapo!!
Cha muhimu ni wewe mwenyewe kuangalia aina ya watu/ID unazo hang out nazo
Mzee wa FursaKohh kohhh Nakazia
kweli kabisaTena hii inabidi iongezwe kwenye kanuni na masharti ya JF, ni marufuku na kosa la jinai kujimwambafy unafahamiana na member wa JF.
Kama nna shida na mtu tutatafutana tuyajenge lakini sio kuweka hapa hadharani.
Kwa kumsaidia tu mleta uzi, hawa watu tulionao JF ndio hao hao tuko nao mtaani.
Kuna waungwana, wafanya biashara, matapeli, wenye kujitambua, mateja, watoto, wazee yani kila kaliba.
Namaanisha ni kisima chenye kila kitu unaweza kupata msaada au kujifunza mambo ya muhimu yakakusaidia maishani.
UmeanzaUfafanuzi pls 😆
Hizo trella niaje niaje unaogopa vipi kuzigonganisha?
Rafiki wababu ndo wazuri bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rafiki unataka kuua babu wa watu kwa presha?
Ninatamani kukuta a na GENTAMYCINE