nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Umesoma hukumu lakini?? Na gonorea watoto wametoa wapi???
Na kumbuka kuwa those day huyo wanaosema ametengeneza kesi hakuwa na cheo cha kufanya atakalo. Ingekuwa ni mtoto mmoja mimi ningesema amefundishwa lakini watoto 10. Na wanaomtetea wengine mnasema ooh nimesoma na mwanae namjua vizuri. Hivi kweli waweza kumjua mtu mwenye huwezo wa kubaka na asiye nao au mpaka abake. Kuna wazazi wanabaka watoto wao na ni wazazi wa heshima kuna ambaye aliweza ku predict?? Na mahakama si kama movie za kanumba mahakimu na ma advocate wana huwezo wa kuhoji kiasi kuwa ni ngumu kwa watoto kustick kwenye uongo waliofundishwa. Hata advocate wa watuhumiwa sidhani kama aliappeal basing on watoto kufundishwa but other technical things. Soma hukumu kwanza usitetee kwa kututumia ushaidi wa vijiweni.
Na hao waliowakaririsha watoto mistrari ndio waliowaigilia hadi kinyume na maumbile au walipata wapi watoto walioharibiwa??
Na kumbuka kuwa those day huyo wanaosema ametengeneza kesi hakuwa na cheo cha kufanya atakalo. Ingekuwa ni mtoto mmoja mimi ningesema amefundishwa lakini watoto 10. Na wanaomtetea wengine mnasema ooh nimesoma na mwanae namjua vizuri. Hivi kweli waweza kumjua mtu mwenye huwezo wa kubaka na asiye nao au mpaka abake. Kuna wazazi wanabaka watoto wao na ni wazazi wa heshima kuna ambaye aliweza ku predict?? Na mahakama si kama movie za kanumba mahakimu na ma advocate wana huwezo wa kuhoji kiasi kuwa ni ngumu kwa watoto kustick kwenye uongo waliofundishwa. Hata advocate wa watuhumiwa sidhani kama aliappeal basing on watoto kufundishwa but other technical things. Soma hukumu kwanza usitetee kwa kututumia ushaidi wa vijiweni.
Na hao waliowakaririsha watoto mistrari ndio waliowaigilia hadi kinyume na maumbile au walipata wapi watoto walioharibiwa??
najua watu wasomi ukiwaambia watumie akili za kuzaliwa hamtaelewana. Ila umeongea point kwa mba watu wawe neutral. Kuna kitu hapa wadau wana sema eti wale watoto wangekuwa wako je? Na mimi nasema wewe ungekua b.seya ndo unaambiwa na wanao kwa leo baba usiende mbari kuna watoto watakuja,tuje tuwanajisi.au wewe mtoto baba yako anakuambia hivyo ungemjibu nini? Mnasema kuhusu kufundisha watoto nini wakaseme mahakamani?hivi hata hizi sinema hatujaona jinsi watoto wanavyo fundishwa uzalishaji wa maneno?angalia picha ya kanumba anko jj kisha jiulize kama huyu mtoto kafanya vitu vinavyo vuta watazamaji wengi na kuteka hisia za wasomi.je inashindikanaje kufundishwa kwa ajili ya mahakamani.