Shuhudia Babu Seya Na Papii Kocha Wakitoka Jela

Shuhudia Babu Seya Na Papii Kocha Wakitoka Jela

imotions ndio zimewajaa wabongo> wanaishia kulalamika kidown down, kama kulikua na mwenye ushahidi hawajabaka angejitoa mhanga akasimama front, bt kwa ukunguru wetu kila mtu anakaa kimya af mnakuja kulalamika kwenye forums like this, mfano hai ni watu wanauliza hapa nini chanzo.. hakuna anaetoa jhibu la kueleweka! where r we heading???

pengine wanashindwa kujitoa mhanga wakihofia mabwepande
 
Kwenu wadada wa JF,hebu jaribuni kuvaa uhusika,ungekuwa wewe ndo 'SALIMA',(mama mwenye nyumba),ungemshauri nini BABA MWENYE NYUMBA?
mi
ningemshaur amsamehe coz km limetokea ndo lishatokea na haliwez kufutka ktk historia,ictoshe km adhabu ishamsulubu kwa miaka ming 2. wat else then..."mwachie mungu 2 tena mume wng adhabu yke itamshukia"
 
Hii kesi bado ina utata mkubwa sana,hasa ktk mazingira ambayo washtakiwa wametenda kosa lao,pia swala la mila na desturi zetu sisi waafrika pia linaongeza utata,lakini kwa sisi tusioamini kuwa babu seya katenda hilo kosa ushahidi wetu uko wapi?upande wa pili walionyesha ushahidi wao ulioonekana una nguvu na wakashinda.pia naomba kujuzwa wimbo wa salima ulitoka mwaka gani?
 
Huyu alibaka kweli na kama unataka uthibitisho tembelea familia za watoto waliotendewa kitendo hicho upate ukweli. nyingi ya familia hizo wanaishi maeneo ya sinza jirani na mashujaa primary school. Ameharibu watoto na si kusingiziwa!
nimepata kusikia hata mim kwamba ni kwel
 
Ngongoseke soma mwanzo wa uzi mpaka mwisho naamini kuna jambo utajifunza!
 
Last edited by a moderator:
Nikweli walibakwa na watu wengine kwa nia yakutengenza ushahidi, ili kumtia hatian bab theya na wanae
 
!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
[HASHTAG]#TunafukuaMakaburi[/HASHTAG]
 
Kuna watu "wajinga wajinga" hawajui undani wa story ya babu seya wananikera mnoo!kuona wanalaani kitu wasokijua.. Kama unaishi bila kutumia mantiki unaweza kuwa mtu mbaya sana.
 
msitukumbushie machungu haya
wahenga husema "kila mla cha mwenzie na chake huliwa".........
:dance:
vilevile kila chenye mwanzo hakikosi mwisho.
.....na mwisho wake umekuwa leo

Kweli chenye mwanzo kina mwisho
 
Kilichopo hapa ni kwamba amewekwa gerezani, kama wewe unatafuta haki jaribu uone kilicho ndani ya kesi yake. Kosa la nguza linafahamika, jaribu kutumia muda wako ujue ni kwanini amewekwa ndani , na ni kwanini hatatolewa kwa msamaha wa mwaka mpya au wowote ule. At least for now. Ukumbuke kuwa Tanzania si nchi ya haki, nguza si wa kwanza. At least yeye yuko gerezani. Kuna wale waliopigwa risasi pale Sinza bila hatia, no body cares and life goes on.
Ulisema hatotolewa kwa msamaha...imekuaje tena loe
 
Back
Top Bottom