Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,646
- Thread starter
- #141
imotions ndio zimewajaa wabongo> wanaishia kulalamika kidown down, kama kulikua na mwenye ushahidi hawajabaka angejitoa mhanga akasimama front, bt kwa ukunguru wetu kila mtu anakaa kimya af mnakuja kulalamika kwenye forums like this, mfano hai ni watu wanauliza hapa nini chanzo.. hakuna anaetoa jhibu la kueleweka! where r we heading???
pengine wanashindwa kujitoa mhanga wakihofia mabwepande