Yatakuwa magitaahayo mabegi wamebeba nini tena?
WeraweraaaBabu Seya na mwanae Papii Kocha wakitoka kifungoni Gereza la Ukonga jijini Dar jioni hii baada ya kupata msamaha wa Rais dhidi ya kifungo cha maisha walichokuwa wakitumikia tokea mwaka 2004.
Tupe ushahidi basiKuna watu "wajinga wajinga" hawajui undani wa story ya babu seya wananikera mnoo!kuona wanalaani kitu wasokijua.. Kama unaishi bila kutumia mantiki unaweza kuwa mtu mbaya sana.