kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Yatakuwa magitaahayo mabegi wamebeba nini tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatakuwa magitaahayo mabegi wamebeba nini tena?
Babu Seya na mwanae Papii Kocha wakitoka kifungoni Gereza la Ukonga jijini Dar jioni hii baada ya kupata msamaha wa Rais dhidi ya kifungo cha maisha walichokuwa wakitumikia tokea mwaka 2004.
![]()
Tupe ushahidi basiKuna watu "wajinga wajinga" hawajui undani wa story ya babu seya wananikera mnoo!kuona wanalaani kitu wasokijua.. Kama unaishi bila kutumia mantiki unaweza kuwa mtu mbaya sana.