The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
- #41
Mimi sio kada,Ni raia huru Sina chama.Sasa wewe kada wa wapi? We kada gani unashangaa haya wakati ndo zenu? Unawasaliti wenzio au sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio kada,Ni raia huru Sina chama.Sasa wewe kada wa wapi? We kada gani unashangaa haya wakati ndo zenu? Unawasaliti wenzio au sio?
Uache kuwa mjinga, Hakuna sababu yoyote ya kujenga jengo kama hilo kwa zege tupu. Hata hayo mejengo ya zamani hayakujengwa kwa zege mwanzo mwisho bali walitumia maweHuku nnapokaa ilikua inajengwa kama hiyo nadhani ramani zinafanana!!
Hiyo raman imesanifiwa na chuo cha ardhi kwa jinsi nilivyosoma bango la mradi!!
Sema kitu sikupenda shimo la choo limewekwa mbele ya jengo!!
Nnachoweza sema haya ndiyo majengo imara yaliyo jengwa na serikalj miaka hii ya karibu achana na yale madarasa feki ya uviko
Tumepigwa, kwa haraka haraka hapo ni Kama million 120 mpaka 300Habari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Na kwenye hiyo list ya wajinga wewe ndio umekamata namba 1.Jengo liwe full zege? Yaani kuta zote hapo ziwe full zege? Hata gereza haliwezi kujengwa hivyo. Bongo Kuna watu wengi wajinga mno