Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 981
- 1,243
Kwa hii comment nimetamani kukuwowa Koku!!Ni kweli manake nyie hata ruvu sio size yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii comment nimetamani kukuwowa Koku!!Ni kweli manake nyie hata ruvu sio size yenu
Nikupongeze kwa hilo kukubali matokeo[emoji115][emoji120] nimekubali matokeo. Natamani na huyu Molinga wetu aka Falcao, naye awe na uchu wa kufunga kama Kagere, badala ya kuwa busy kupaka ile mirangi yake kichwani.
Kwahiyo akifunga akiwa Gor Mahia anakuwa sio Medie Kagere mfungaji?Bila shaka alifunga hizo goli kwenye mechi za awali au hao CAF wamejumlisha na magoli alizofunga alipokua Gor Mahia, kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote kuanzia mechi za Nkana, Al ahly, As Vita, Tp Mazembe, Ud Songo, nk.
Karibuni kwa data zaidi tafadhali mashabiki wa Simba. Sina tatizo na Striker wenu, yuko vizuri kwenye ligi yetu. Ila kwa upande wa kimataifa, bado naona ana stuggle tu.
Kwa hii comment nimetamani kukuwowa Koku!!
Leo ndio umeibuka Pacha. 😀😀😀
Na ya Ruvu ayawekeLeo ndio umeibuka Pacha. [emoji3][emoji3][emoji3]
Nipe matokeo na Du Songo halafu tuendelee kuongea Lugha moja sasa. [emoji12][emoji12][emoji12]
Mkuu unafuatilia mpira....simba vs al haly goli hakufunga kagere mkuu alifunga zahera....simba vs js saoura kuna goli nafikiri hilo alifunga balinyi....simba vs mbabane kuna magoli nafikiri alifunga yondani...tufanye kagere hakufunga goli lolote kwenye hizo mechiBila shaka alifunga hizo goli kwenye mechi za awali au hao CAF wamejumlisha na magoli alizofunga alipokua Gor Mahia, kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote kuanzia mechi za Nkana, Al ahly, As Vita, Tp Mazembe, Ud Songo, nk.
Karibuni kwa data zaidi tafadhali mashabiki wa Simba. Sina tatizo na Striker wenu, yuko vizuri kwenye ligi yetu. Ila kwa upande wa kimataifa, bado naona ana stuggle tu.
Ndio tutaanzia hapo Mtani. 🤣🤣Na ya Ruvu ayaweke
Inawezekana kabisa ligi kuu yetu ya Tanzania ni ya kawaida sana! Nimemfuatilia kwa muda sasa, namuona Meddie Kegere kama moja ya washambuliaji hatari sana kwenye ligi yetu kwa msimu wa pili sasa!
Cha kushangaza anapocheza mechi za kimataifa, utamgundua ni mchezaji wa kawaida sana tofauti na wachezaji wenzake kama Clotus Chama, nk. Huwa anaruka ruka tu na kukimbia kimbia hovyo uwanjani.
Bila shaka alifunga hizo goli kwenye mechi za awali au hao CAF wamejumlisha na magoli alizofunga alipokua Gor Mahia, kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote kuanzia mechi za Nkana, Al ahly, As Vita, Tp Mazembe, Ud Songo, nk.
Karibuni kwa data zaidi tafadhali mashabiki wa Simba. Sina tatizo na Striker wenu, yuko vizuri kwenye ligi yetu. Ila kwa upande wa kimataifa, bado naona ana stuggle tu.
Labda atakuwa anafunga Molinga...Kwahiyo akifunga akiwa Gor Mahia anakuwa sio Medie Kagere mfungaji?
Ukiwa mwongo kuwa na kumbukumbu pia chura maji yameisha jangwan unatapatapa tu
KAMA TIMU YA MLANDIZI IMEWASHINDA LIGI HII MTAMFUNGA NANI TEGEMEENI KUSHUKA DARAJAHayo ndo mashindano pekee mnayoyategemea kwa saså, usajili wote mnaishia kucheza ligi kuu tu safar hii hata kagame cup mtaililia kuwepo
Mechi za kimataifa wanamwelewa Medee Kagere huwa wanampa ulinz umkubwa sana hawampi nafasi
Mechi za kimataifa wanamwelewa Medee Kagere huwa wanampa ulinz umkubwa sana hawampi nafasi
UNAJISIFIA UWAKILISHI WA KUBEBWA NA SIMBAYanga ndo timu pekee inąyoiwakilisha nchi katika michuano ý CAF Champions. Nyie na wabražil wenu wauza ngada mtabaki apa hapa
Hivi simba ñdo watunga kanuni n sheria za CAF na FIFA?UNAJISIFIA UWAKILISHI WA KUBEBWA NA SIMBA
bebwabebwa fc au mbeleko scHivi simba ñdo watunga kanuni n sheria za CAF na FIFA?
Kwasababu za kimataifa ni chache kuliko za ndaniSasa mbumbumbu fc mnataka nikae na kumbukumbu ya idadi ya magoli ya Kagere kwa faida ipi sasa! Rage alikuwa na akili nyingibsana. Ni ukweli usiopingika, hajafunga mechi nyingi za kimataifa kuliko zile za ndani.