Tumewashangilia mechi yenu na Ruvu na haikusaidia kitu.Mtushangilie sasa wawakilishi wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumewashangilia mechi yenu na Ruvu na haikusaidia kitu.Mtushangilie sasa wawakilishi wenu.
Acha visa ShadeeyaLeo ndio umeibuka Pacha. 😀😀😀
Nipe matokeo na Du Songo halafu tuendelee kuongea Lugha moja sasa. 😜😜😜
Hata mimi nakubali, huu ndio ukweli.Yanga ndo timu pekee inąyoiwakilisha nchi katika michuano ý CAF Champions. Nyie na wabražil wenu wauza ngada mtabaki apa hapa
MBAMBANE 0 - 4 SIMBA ScBila shaka alifunga hizo goli kwenye mechi za awali au hao CAF wamejumlisha na magoli alizofunga alipokua Gor Mahia, kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote kuanzia mechi za Nkana, Al ahly, As Vita, Tp Mazembe, Ud Songo, nk.
Karibuni kwa data zaidi tafadhali mashabiki wa Simba. Sina tatizo na Striker wenu, yuko vizuri kwenye ligi yetu. Ila kwa upande wa kimataifa, bado naona ana stuggle tu.
Ud Songo.-.Simba?MBAMBANE 0 - 4 SIMBA Sc
Chama'28
Chama'32
Okwi'51
Kagere'63
SIMBA Sc 4 - 1 MBAMBANE
Bocco'8
Bocco'33
Kagere'84
Chama'91
SIMBA Sc 3 - 0 Js SOURA
Okwi'45+
Kagere'52
Kagere'67
SIMBA Sc 3 - 1 NKANA
Mkude'29
Kagere'45
Chama'88
SIMBA Sc 1 - 0 AL AHLY
Kagere'65
... Pitia vzr utakuwa na wivu tu mkuu au umechanganya madesa tu.
Lakini kwa ligi yetu hapa bongo nani anamzidi KAGERE toka aje Simba kutoka Gor mahia.. Mechi za bongo + Kimataifa..?
Ebu mtaje tuwa'rank ...( )
0-0Ud Songo.-.Simba?
Ya ruvu yalikuwa wao 1 nyie 0 😂😂Leo ndio umeibuka Pacha. 😀😀😀
Nipe matokeo na Du Songo halafu tuendelee kuongea Lugha moja sasa. 😜😜😜
Ruvu 2 Wananchi 0Ya ruvu yalikuwa wao 1 nyie 0 [emoji23][emoji23]
Yetu ilikuwa draw ya 1-1