Shuhudia leo Samba football Simba vs JKT Tanzania

Shuhudia leo Samba football Simba vs JKT Tanzania

Yanga ndo timu pekee inąyoiwakilisha nchi katika michuano ý CAF Champions. Nyie na wabražil wenu wauza ngada mtabaki apa hapa
Hata mimi nakubali, huu ndio ukweli.
Endelea kuwakilisha ila ukumbuke na nyumbani.
 
Bila shaka alifunga hizo goli kwenye mechi za awali au hao CAF wamejumlisha na magoli alizofunga alipokua Gor Mahia, kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote kuanzia mechi za Nkana, Al ahly, As Vita, Tp Mazembe, Ud Songo, nk.
Karibuni kwa data zaidi tafadhali mashabiki wa Simba. Sina tatizo na Striker wenu, yuko vizuri kwenye ligi yetu. Ila kwa upande wa kimataifa, bado naona ana stuggle tu.
MBAMBANE 0 - 4 SIMBA Sc
Chama'28
Chama'32
Okwi'51
Kagere'63
SIMBA Sc 4 - 1 MBAMBANE
Bocco'8
Bocco'33
Kagere'84
Chama'91
SIMBA Sc 3 - 0 Js SOURA
Okwi'45+
Kagere'52
Kagere'67
SIMBA Sc 3 - 1 NKANA
Mkude'29
Kagere'45
Chama'88
SIMBA Sc 1 - 0 AL AHLY
Kagere'65
... Pitia vzr utakuwa na wivu tu mkuu au umechanganya madesa tu.
Lakini kwa ligi yetu hapa bongo nani anamzidi KAGERE toka aje Simba kutoka Gor mahia.. Mechi za bongo + Kimataifa..?
Ebu mtaje tuwa'rank ...( )
 
MBAMBANE 0 - 4 SIMBA Sc
Chama'28
Chama'32
Okwi'51
Kagere'63
SIMBA Sc 4 - 1 MBAMBANE
Bocco'8
Bocco'33
Kagere'84
Chama'91
SIMBA Sc 3 - 0 Js SOURA
Okwi'45+
Kagere'52
Kagere'67
SIMBA Sc 3 - 1 NKANA
Mkude'29
Kagere'45
Chama'88
SIMBA Sc 1 - 0 AL AHLY
Kagere'65
... Pitia vzr utakuwa na wivu tu mkuu au umechanganya madesa tu.
Lakini kwa ligi yetu hapa bongo nani anamzidi KAGERE toka aje Simba kutoka Gor mahia.. Mechi za bongo + Kimataifa..?
Ebu mtaje tuwa'rank ...( )
Ud Songo.-.Simba?
 
Back
Top Bottom