johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Enzi za Shujaa Magufuli kila jambo alisukumiziwa yeye lakini yeye alikaa kimya tu akiendelea kuchapa Kazi.
Aliwahi kusema Neno moja tu " Nimejitoa sadaka kwa ajili yenu"
Mungu wa mbinguni amrehemu Maguful!
Aliwahi kusema Neno moja tu " Nimejitoa sadaka kwa ajili yenu"
Mungu wa mbinguni amrehemu Maguful!